NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,176
- 12,647
Nipo tayari kutumwa mahali popote au kazi yoyote ile ya kihalali - JamiiForums
Ungepitia hapo usingelipata changamoto
Ungepitia hapo usingelipata changamoto
Mkuu hiyo google map ishawahi kunipotezea mtu Zenji namsubiri dream of zanzibar yeye google map imempeleka chwaka bay huko !Wakati mwengine ni sisi tu tunaopenda kuingia gharama sasa sijui ni hatujui kuzitumia vizuri hizi simu zetu janja au vipi?
Tanzania kwa hii miji inayoonekana kuendelea karibu kila kitu chao kipo mtandaoni,ukitumia Google maps popote unafika hasa itumie kujua nyumba za wageni zilizo karibu na uliposhuka gari,angalia ziko umbali gani kama ni 1,2,3 Km unahisi utapotea kufika ita sijui tax au bodaboda mwambie nipeleke maeneo ilipo nyumba hii na akisema bei kubwa utakuwa na uwezo wakum-challenge mbona karibu tu hapo unasema bei kubwa hivyo hii itakufanya uonekane siyo mgeni na mkifika mpe chake aondoke.
Ukishaanza kuwauliza sijui nitapata wapi guest nzuri ndo unapowapa nafasi ya kukupiga mkifika anajifanya kukupeleka reception ooh huyu jamaa yangu mpeni chumba kizuri kumbe kuja pale nikumfahamisha muhudumu kuwa hiki ni kichwa changu nitaijia ganji yangu.
Atakuwa alivaa tisheti ya walimu
Watanzania tunajifanyafanya na kuigiza maisha sana ndugu. Mimi mwenyewe nawashangaaKama kuna kitu kinatuponza Watanzania ni kutokuheshimu kile mtu alichonacho!
Ana machungu kagundua kapoteza jasho lake isivyo halali, tunamkebehi!!
Fanya kuheshimu coz hujui kaipata vipi!? Kama we ni mjanja wa kutia sign na kupokea hela basi heshimu ya yule anayeingia shimoni anakaa wiki jua halioni anaitafuta hicho kidogo!! Not fair
Ha ha ha halafu akachomekea na mkanda njeAtakuwa alivaa suruali pana kama zile za Kanda Bongoman.....
Hofu ni hii, yule wa guest maana yake atapata 5000 X siku utakazolala.Ha ha ngoja wapate elf 5000 ya chai,kuliko kukaba watu.
Kwanza hela si yake ni ya kwangu. Ningekuwa nakaa siku 6 bila kujua maana yake nilikuwa nampoteza hiyo 5000 X 6 na mwingine inaweza kuwa zaidiSasa elfu tano tu unakuja kulia humu ndani
😁😀😁😀 Dah, unajua nilikuwa na peni Mfuko wa Shari, halafu nimeshika funguo. Naona akajua huyu ticha😀Hahaha, tena wapo hivi hao matapeli. Wakiona muonekano wa ki dokita, profesa. Oyaaa Dkt vipi, nipo hapa mtu wangu, tax ipo, za masiku. Kuna tapeli mwingine dar wa mgahawa anapika vyakula asili, ukifika Bhageshi vipi, karibu hahaha yaani watz hawaishi vituko
Ok nalifanyia kazi nitakupaMkuu nitajiye gest mzur yenye bei nafuu iliopo karibu na stend ya msamvu asantee
nasubiri pia mkuuOk nalifanyia kazi nitakupa
Ukifika Morogoro nyosha mtaa wa Vibandan njia ya SUA kuna lodge kama zoteeeHahaha, tena wapo hivi hao matapeli. Wakiona muonekano wa ki dokita, profesa. Oyaaa Dkt vipi, nipo hapa mtu wangu, tax ipo, za masiku. Kuna tapeli mwingine dar wa mgahawa anapika vyakula asili, ukifika Bhageshi vipi, karibu hahaha yaani watz hawaishi vituko
Mkuu ndo maana hapo juu nikasema kama Google maps unaona huielewi angalia tu umbali wa sehemu husika ili uchukue usafiri upelekwe.Mkuu hiyo google map ishawahi kunipotezea mtu Zenji namsubiri dream of zanzibar yeye google map imempeleka chwaka bay huko !
vipi maeneo ya msamvu???Ukifika Morogoro nyosha mtaa wa Vibandan njia ya SUA kuna lodge kama zoteee
Hahaha, tena wapo hivi hao matapeli. Wakiona muonekano wa ki dokita, profesa. Oyaaa Dkt vipi, nipo hapa mtu wangu, tax ipo, za masiku. Kuna tapeli mwingine dar wa mgahawa anapika vyakula asili, ukifika Bhageshi vipi, karibu hahaha yaani watz hawaishi vituko
Pale Nyegezi iko hivi, kama ni mgeni ukifika kuna gari mbali mbali ziko pale stendi zinazoshughulika na guest house. Wakipata mteja wanajaribu kukushawishi uende kwao na wanakushawishi na wanakupeleka kwa gari yao huko na asubuhi wanakurudisha stendi kwa ajili ya safari yako. Mara nyingi hawa wanakuwa wanahusika moja kwa moja na guest hiyo. Sijapata taarifa ya namna gani upigaji inafanyika hapa. Vinginevyo, kuna vijana wako pale wakikuona mteja watakushawishi uende kwenye zile gari au guest fulani bila Shaka wanalipwa, (mara nyingi ni kwa guest house za jirani na stendi). Hizi za mbali kidogo ni hawa wenye magari.Hili suala hata Mwanza,Nyegezi lipo.Ila hawatozi kiasi kikubwa sana
Nitajifunza, bado sijaona. Sijajua kwa kuwa guest ni nyingi, kuna muda unafikia anayekusafirisha anakosa majibu kwamba tumekosa huku sasa twende wapi. Yule wa Morogoro alikuwa na majibu sana, na almost alijua baada ya kuzunguka mwishowe tunaishia wapi. Kuna muda nilishuka kwenda kuhakiki alichoniambia mudi yake ilibadilika sana Ila sikujua sababu ni hiyo exactlyHii kitu nimeikuta Dodoma
😊😊😊😊Una shida weweBagheshi msukuma huyo