House4Sale NYUMBA ya kisasa INAUZWA bei poa.

Kama nyumba ina hati ya wizarani yenye majina ya muuzaji tutafutane.
 
Sababu ni vyumba viwili na sio vitatu
Wengi wanaona cheap sababu hawajui nyumba ni ndogo sana.
Pia ni ya mabachela, ukitoka chumbani unatokea nje ya nyumba tayari.
Hapo ni chini ya 400sqm.
 
Mswali ya msingi:-
Karibu kama ni muhitaji.
Majibu yote utayapata hapo.
Owner yupo karibu na hapo
Boss, asante kwa taarif ahii muh
NYUMBA inapatikana KITUNDA, Kivule
Km 8 kutoka nyerere road (old pugu road)
Nyumba Ina vyumba viwili (all are self-contained)
Aluminium windows, full gypsums & tiles
Perving blocks
air-condition installed
Full fenced
Maji+ umeme (24/7)
Price/offer: 27m
Mawasiliano: 0785 857564



View attachment 1199799View attachment 1199800View attachment 1199801View attachment 1199802View attachment 1199803View attachment 1199804View attachment 1199805View attachment 1199806View attachment 1199807View attachment 1199808
Kiongozi, asante kwa taarifa hii muhimu! Mimi nina mswali kadhaa ya msingi:-
  1. Hiyo nyumba ni yako au wewe ni dalali?
  2. Infikika kwa gari?I mean gari inafika hadi kwenye nyumba au unapaki CCM?
 
Mswali ya msingi:-

Boss, asante kwa taarif ahii muh

Kiongozi, asante kwa taarifa hii muhimu! Mimi nina mswali kadhaa ya msingi:-
  1. Hiyo nyumba ni yako au wewe ni dalali?
  2. Infikika kwa gari?I mean gari inafika hadi kwenye nyumba au unapaki CCM?
Refer: parking space (vehicle) 2-3 Cars (small/medium size)
IMG_20190906_123405.jpeg
 
Naomba utuwekee hapa Location/Map ili kurahisishs pia kuitazama mtandaoni....
Mtandaoni how mkuu!
Mimi ndio nimeipost sijajua kama unaweza kuitazama kwa njia nyingine e.g Google map
 
NYUMBA inapatikana KITUNDA, Kivule
Km 8 kutoka nyerere road (old pugu road)
Nyumba Ina vyumba viwili (all are self-contained)
Aluminium windows, full gypsums & tiles
Perving blocks
air-condition installed
Full fenced
Maji+ umeme (24/7)
Price/offer: 27m
Mawasiliano: 0785 857564



View attachment 1199799View attachment 1199800View attachment 1199801View attachment 1199802View attachment 1199803View attachment 1199804View attachment 1199805View attachment 1199806View attachment 1199807View attachment 1199808
Mkuu uwe unatuwekea na Viwanja kama vipo huko Kitunda!Au kama una page ya instagram ili tuweze itembelea iweke Hapa mkuu!Nimevutiwa na Kitunda,nina imani pananifaa pia
 
nyumba imejengwa na mtu bahili..lol ukiwa na hela usikimbilie viwanja vya bei rahisi...
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom