House4Rent Nyumba ya kisasa Inapangishwa bei nzuri Changanyikeni

Tanzan

Member
Aug 19, 2014
40
13
Nyumba ya kisasa na yenye finishings ya hali ya juu inapangishwa Changanyikeni Mbuyuni, karibu na hostel ya Jesus Village. Ni KM 1.5 kutoka Chuo Kikuu cha Dsm na pungufu ya KM 1 kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi. Ni umbali wa kutembea kwa miguu kwenda vyuo hivyo au Mlimani City. Nyumba ni ya vyumba 3 vya kulala, kati ya hivyo 2 ni Self contained (masters), Ina sebule kubwa, Dining, foyer na jiko. Ina common toilet na bathroom zilizotenganishwa Pia ina vyoo viwili vya nje na reserve ya maji ya Lt 3000. Nyumba ina eneo kubwa la wazi la kutosha kupaki zaidi ya magari 5 na ina fence na geti. Kodi yake ni 500, 000/= na inalipwa kwa miezi 6. Kwa mawasiliano zaidi wasiliana kupitia namba hii 0689 771087. Mnakaribishwa
 

Attachments

  • IMG_20160515_151140.jpg
    IMG_20160515_151140.jpg
    117.1 KB · Views: 232
  • IMG_20160515_151120.jpg
    IMG_20160515_151120.jpg
    106.6 KB · Views: 201
  • IMG_20160515_151214.jpg
    IMG_20160515_151214.jpg
    241.8 KB · Views: 169
  • IMG_20160515_151031.jpg
    IMG_20160515_151031.jpg
    138.4 KB · Views: 225
  • IMG_20160515_151405.jpg
    IMG_20160515_151405.jpg
    72.2 KB · Views: 167
  • IMG_20160515_151625.jpg
    IMG_20160515_151625.jpg
    137.1 KB · Views: 185
  • IMG_20160515_152033.jpg
    IMG_20160515_152033.jpg
    99.4 KB · Views: 174
  • IMG_20160515_153657.jpg
    IMG_20160515_153657.jpg
    130.1 KB · Views: 173
  • IMG_20160515_151644.jpg
    IMG_20160515_151644.jpg
    67 KB · Views: 218
  • IMG_20160515_151300.jpg
    IMG_20160515_151300.jpg
    234.3 KB · Views: 172
  • IMG_20160515_151925.jpg
    IMG_20160515_151925.jpg
    171 KB · Views: 211
Ndugu Pohamba, ni mjini hapa na kuna nyumba zingine zenye wapangaji katika compund hiyo. Eneo lote limezungushiwa fence, geti na lina mlinzi. Karibuni
 
Ndugu Pohamba, ni mjini hapa na kuna nyumba zingine zenye wapangaji katika compund hiyo. Eneo lote limezungushiwa fence, geti na lina mlinzi. Karibuni
 
Ndiyo Option, ni kulingana na nyumba yenyewe na eneo lilipo. Unakaribishwa mdau
 
Hivi 500k ni bei nzuri?

Wale wapigaji waliotumbuliwa na kuzoea kukodisha majumba yao kwa bei ghali wanafhani asaiv kuna mtu anaweza hiyo bei.

Mikocheni zipo kibao za bei hiyo mtu aende CHANGANYIKENI,tafsiri tu hilo jina tu,ujue maana ya changanyikeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom