engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Nyumba ya kiongozi wa ccm Igunga KATIBU KATA yachomwa moto,na ujumbe unao wataja wana CDM kuwa ndio wahusika wa hujuma hiyo waonekana ukiwa na ujumbe huu CHADEMA SISI NI WAJANJA,
Lakini pia hebu angalia picha hapo chini yajieleza nayo hiyo ni hujuma nyingine huko IGUNGA
Mmoja watu waliotoa kadi zao, Chiristina Kaloli, mkazi wa Iborogero alikiri kuwa kadi yake imeishaandikishwa mjumbe wa CCM huku kusisitiza kuwa hiki ni kipindi cha mavuno kwao.
source: Wavuti - Habari
Lakini pia hebu angalia picha hapo chini yajieleza nayo hiyo ni hujuma nyingine huko IGUNGA
Mmoja watu waliotoa kadi zao, Chiristina Kaloli, mkazi wa Iborogero alikiri kuwa kadi yake imeishaandikishwa mjumbe wa CCM huku kusisitiza kuwa hiki ni kipindi cha mavuno kwao.
source: Wavuti - Habari