napenda kuwauliza walalamikiwa nyumba kama imechomwa moto je chanzo cha moto kilikuwa mafuta au alichoma nyasi.ok by the way napenda kujua je mlalamikaji anasema nyumba ilikuwa inatumika kama jiko je tuna uhakika gani kuwa ilichomwa au moto aliouacha baada ya kupika ?