Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
That's why I said ningekuwa mie, wahenga walinena upele humwota asiye na kucha
Hahaha, lkn usijali haujachelewa maadamu bado unaishi, huwezi jua, ...
That's why I said ningekuwa mie, wahenga walinena upele humwota asiye na kucha
Ya Mungu mengi embe dodo laweza nindondokea na mimiHahaha, lkn usijali haujachelewe maadamu bado unaishi, huwezi jua, ...
Ya Mungu mengi embe dodo laweza nindondokea na mimi
Of course yes, but I'm trying hard to build my own empireHahaha, zali la mentali au siyo, ...
Anaishi hapa msese road karibu kabisa na salenda bridgeHuyu anaishi bonde gani? La mkwajuni la kigogo?
Kama haishi katika hayo mabonde basi itakua paa liling'oka
Mali za kuruthi na zenyew , unakua huna amani, kuandamwa kila kukicha na familia , apo jacky anataman kuolewa na danga lake akifikiria mali inabid atulize mshono maana akiolewa tu kimbembe kinaanza
Uone receipt number na jina ili ukamteke, nilipe au nisilipe haikuusu
Mzee umekurupuka kwa tunaopafahamu hapo hakuna kipindi cha mvua hapo pasijae maji sema mzee hakuwa anataka mambo ya mapichapicha, ni mara moja tu itv waliripoti nyumba ya don kukumbwa na mafurikoKumbe huyu dada bado mshamba sana!!
Mzee Mengi amechukia ameamua kumwadhibu kwa mafuriko! Hizo wine anakula na nani humor getto.Mzee amechukia sana huko aliko!
Kama ni staa kwako usidhani kuwa kila mtu anamuona hivyo; watu wana mambo ya muhimu kufanya kuliko kumfikiria huyo mwanamke!!
Hapo wanawake mjifunze ukweli kuwa bila kuwepo mwanaume hamtoboi; alipokuwepo mwenyewe mbona hayo mafuriko hayakuingia ndani?
Hahaahaha jf bwana 😂 raha sanaKama ni staa kwako usidhani kuwa kila mtu anamuona hivyo; watu wana mambo ya muhimu kufanya kuliko kumfikiria huyo mwanamke!!
Hapo wanawake mjifunze ukweli kuwa bila kuwepo mwanaume hamtoboi; alipokuwepo mwenyewe mbona hayo mafuriko hayakuingia ndani?
wewe maisha ya Jacky yanakuhusu??
Hiyo sio Kinondoni Msese kweli!? Nakumbuka tulikuwa tunatoka Kinondoni kule kwa kina TID kwenda huko maeneo ya Msese na maeneo jirani kuokota makrokoro kwenye majalala ya wazungu na maafisa wanaojiweza. Hiyo 1985_1987Nyumba iko kwenye mkondo wa maji
Zamani maeneo yote yalikuwa kuna mikoko
Hiyo boda tushalipita sana kwa miguu utotoni
Ilikuwa mikoko mitupu sasa maji Kuja hapo hata sishangai
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app