jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,644
una hakika na unachokisema nduguYes mnaruhusiwa kununua nyumba boss,mtu akiuza unanunua
una hakika na unachokisema nduguYes mnaruhusiwa kununua nyumba boss,mtu akiuza unanunua
wakiwa na shida ya kuuza nyumba ndio wanakuja huku, ila kama hawana shida wanatuita chogo na haturuhusiwi kumiliki ardhi kule. nunueni wenyewe au ipikeni wekeni kachumbari na pilipili muitafune.Ila nyumba za Zanzibar jamani.
Kila la heri mkuu. Kumbe watanganyika na sisi tunaruhusiwa kumiliki ardhi Unguja
Mbona makasiriko mkuu 😂😂😂wakiwa na shida ya kuuza nyumba ndio wanakuja huku, ila kama hawana shida wanatuita chogo na haturuhusiwi kumiliki ardhi kule. nunueni wenyewe au ipikeni wekeni kachumbari na pilipili muitafune.