Lakini sio kwa kiwango cha 0.55BilNzuri Sana.
Lakini sio kwa kiwango cha 0.55BilNzuri Sana.
Hela imewekwa hapo mkuuLakini sio kwa kiwango cha 0.55Bil
Ngapi??Hela imewekwa hapo mkuu
Hamkopeshi? Nikopesheni, nikishinda jackpot ya Sportpesa nitalipaNyumba ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi nk
Nyumba bado ni mpya kabisa na ukinunua unakabidhiwa ikiwa imekamilika kila kitu
Uwanja una ukubwa wa 1200sqm
Bei 550m
Maongezi zaidi 0756060183View attachment 1081278View attachment 1081281View attachment 1081282View attachment 1081284View attachment 1081287View attachment 1081288View attachment 1081289
Hahaaa vigezo vyako havikidhiHamkopeshi? Nikopesheni, nikishinda jackpot ya Sportpesa nitalipa
Karibu uone kwanza nyumba mkuuNgapi??
Karibu uone kwanza nyumba mkuu
Asante sana mkuuhii nyumba amejenga vizuri sana, amejua kuipanga kwenye kiwanja