Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Jamaa alipata kiwanja Mbezi Beach siku nyingi sana. Kazini alikua anafanya kazi kwenye mradi wa Danish, alikutana na mke wake hapo. Walienda kuishi wote Denmark baada ya mkataba wa mke wake kuisha.
Kule jamaa alijifunza kazi za kulea wazee. Alianza kujenga nyumba yake ya Mbezi Beach kwa ramani ya Denmark. Alileta basic furniture kama fridge, jiko na washing machine.
Ile nyumba ilichukuliwa na kampuni kwa 1.5m kwa mwezi. Aliweza kununua viwanja vingine viwili Mbezi Jogoo na kujenga nyumba mbili nyingine. Amepata kampuni imechukua zote mbili kwa 1m kwa mwezi.
Biashara ya Real Estate inategemea eneo nyumba ilipo na ubora wa nyumba.
Kule jamaa alijifunza kazi za kulea wazee. Alianza kujenga nyumba yake ya Mbezi Beach kwa ramani ya Denmark. Alileta basic furniture kama fridge, jiko na washing machine.
Ile nyumba ilichukuliwa na kampuni kwa 1.5m kwa mwezi. Aliweza kununua viwanja vingine viwili Mbezi Jogoo na kujenga nyumba mbili nyingine. Amepata kampuni imechukua zote mbili kwa 1m kwa mwezi.
Biashara ya Real Estate inategemea eneo nyumba ilipo na ubora wa nyumba.