Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,182
Katika ma tangazo ya nyumba humu ninaona Mara nyingi tunaambiwa nyumba ina master bedroom na. Public toilet, jamani wajuzi wa mambo haya yanawezekana?
Huku kwetu Kwamtogole tunatumia choo kimoja watu 25 lakini hatukiiti public toilet, ni communal toilet. Ushamba mzigo nisaidieni jamani.
Huku kwetu Kwamtogole tunatumia choo kimoja watu 25 lakini hatukiiti public toilet, ni communal toilet. Ushamba mzigo nisaidieni jamani.