mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,594
- 8,877
karibu pm mrembo muzuriiiiiKigoma tena mkuu
karibu pm mrembo muzuriiiiiKigoma tena mkuu
Kumbe unaishi wapi ?Kigoma tena mkuu
Mimi nimeo ila nimejaribu pia kuwa na nyumba ndogo kipindi chote cha miaka 20 ya ndoa yangu. Kitu kimoja kimenishangaza hawa michepuko huwa lazima a cheat tu hata kama unampatia kila kitu. Na nimeona hata kwa wenzangu nao wana shida hizo hizo na michepuko yao. Nimejaribu wasichana below 30 tabia ni hizo hizo, nimejaribu ma single mother over 35 nao tabia ni hizo hizo. Hivi nyie michepuko tuwafanyie nini ili mtulie????
Wangapi utaacha?Mleta mada Mungu anakuona!
Namuonea huruma mkeo!
Yani laiti mwanamke kama unajiridhisha mumeo kuwa anachepuka bora kuachana mapema.
Maskini mke asijeletewa maambukizi
Team Work.Mimi nimeo ila nimejaribu pia kuwa na nyumba ndogo kipindi chote cha miaka 20 ya ndoa yangu. Kitu kimoja kimenishangaza hawa michepuko huwa lazima a cheat tu hata kama unampatia kila kitu. Na nimeona hata kwa wenzangu nao wana shida hizo hizo na michepuko yao. Nimejaribu wasichana below 30 tabia ni hizo hizo, nimejaribu ma single mother over 35 nao tabia ni hizo hizo. Hivi nyie michepuko tuwafanyie nini ili mtulie????
Utakubali akuoe kabisa??Mi nmetulia karib pm
Mbona umecheka sana??
Thread closed...Anakuchukulia wewe kama danga tuu maana una mkewako, anakuchuna anampelekea jamaa yake
Achana na michepuko ndiyo jibu sahihi.Mimi nimeo ila nimejaribu pia kuwa na nyumba ndogo kipindi chote cha miaka 20 ya ndoa yangu. Kitu kimoja kimenishangaza hawa michepuko huwa lazima a cheat tu hata kama unampatia kila kitu. Na nimeona hata kwa wenzangu nao wana shida hizo hizo na michepuko yao. Nimejaribu wasichana below 30 tabia ni hizo hizo, nimejaribu ma single mother over 35 nao tabia ni hizo hizo. Hivi nyie michepuko tuwafanyie nini ili mtulie????
Wangapi utaacha?
Huwa nafurahii tuu akiiMbona umecheka sana??
Wanataka umuache mke wako ili watulieMimi nimeo ila nimejaribu pia kuwa na nyumba ndogo kipindi chote cha miaka 20 ya ndoa yangu. Kitu kimoja kimenishangaza hawa michepuko huwa lazima a cheat tu hata kama unampatia kila kitu.
Na nimeona hata kwa wenzangu nao wana shida hizo hizo na michepuko yao. Nimejaribu wasichana below 30 tabia ni hizo hizo, nimejaribu ma single mother over 35 nao tabia ni hizo hizo. Hivi nyie michepuko tuwafanyie nini ili mtulie?
Kwanini wanaume wanaochepuka wasiache kuchepukaWangapi utaacha?
No wonder ukimwi hauishiIla wakuu tuache utani. Maisha ya ndoa bila mchepuko hayaendi kabisa kwakweli. Yaani nimegundua ukitaka ndoa yako idumu na iwe yenye amani na furaha, hakikisha hukosi angalau michepuko miwili nje.
Muosha huoshwaYaani we ni pimbi sana aisee.
Sasa wakati umekwenda kulala kwa mkeo unataka yeye alale na nani?
What goes arround comes around