Nyumba ndogo kaficha funguo za gari! Nifanyeje?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,627
154,995
Na umri wangu wa miaka 51 nilikuwa sijawahi kuangukia kwenye mtego.wa nyumba ndogo.
Juzi nikabahatika kujumuika na wana JF wenzangu pale Leo Tupo Hapa Pub, kwenye maongezi na kufahamiana nikajikuta nafsi yangu ikimdondokea dada mmoja ambaye leo ndio kanipa mamboz.
Baada ya majamboz na kukolewa na kinywaji dada kaficha funguo za gari yangu.
Dada kalewa chakari hakieleweki afanyacho na funguo anasema hajui alipoziweka.
Wife anapiga simu nirudi haraka nyumbani kuna dharura jamani nifanyeje mie na yula mamaa wa Kikurya mdogo wa Mwita Maranya?
Kwakweli nimekomeshwa na nimeibishwa sana leo SnowBall hebu njoo uokoe jahazi
 
Last edited by a moderator:
Hahaha Shemeji yangu leo yamekukuta..... fuata ushauri wa Da FP hapo juu............
unajua rafiki, kuna kipindi nilikaaga kwa uncle wangu, sikuwa namwelewa...
alikuwa na nyumba ndogo ambayo hata mkewe alikuwa anajua. yaani huyo uncle akitoka job break ya kwanza home, kwa mkewe. atapewa chakula anakula, anaoga, anabadili nguo.... anaita taxi anapelwkwa nyumba ndogo, hata kama atalala huko inampasa kesho asubuhi arudi home kuchukua funguo za ofisi na kubadili nguo ndo aende kwa ofisi...
siku moja (nikiwa nimeshaolewa) nilimwuliza uncle kulikoni? akaniambia hawa wa mtaa wa sita hawaaminiki.... anaweza kukuharibia hata kazi..... sasa sijui kwa nini wanawafwata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:heh:
 
Mwambie gari imeharibika huku unatafuta usatifiti wa kukata waya ili istart ikufikishe home.
 
nenda pale polisi oysterbay au kituo chochote cha polisi kilichokaribu
umpe polis sh 50 alfu mwambie akuweke ndani kisha ampigie simu mkeo
amwambie umekamatwa kwa kosa la kugonga mtu na mkeo akudhamini
leo lala small house kesho asbh ndio mkeo aje kukuwekewa dhamana
na supu akupikie pia,,,,,
ukiwa na small house lazima ujue mbinu za kuishi mjini..
 
hiyo unayoita nyumba ndogo,ujue ndiyo nyumba kubwa ya wenzanko!kutesa kwa zamu
 
nikupe tips mdogo wangu......
ukienda nyumba ndogo hakikisha huendi na FUNGUO ZA OFISINI, na ukiweza nenda na nguo za ziada (uzifiche). na kama hutajali basi nenda na taxi.
hawakawii kuloweka nguo ili usiondoke

dah! ndugu unauzoefu balaa
 
mdanganye mwambie mbadili kiwanja atatoa funguo halafu utajuwa cha kufanya usionyeshe mapepe ya kutaka kurudi home mwambie leo tunakuwa wote mpk asubuhi akitoa tu funguo unamubadilikia
 
Bujibuji umenichekesha! Tafuta usafiri mwingine kesho kitaeleweka
 
unajua rafiki, kuna kipindi nilikaaga kwa uncle wangu, sikuwa namwelewa...
alikuwa na nyumba ndogo ambayo hata mkewe alikuwa anajua. yaani huyo uncle akitoka job break ya kwanza home, kwa mkewe. atapewa chakula anakula, anaoga, anabadili nguo.... anaita taxi anapelwkwa nyumba ndogo, hata kama atalala huko inampasa kesho asubuhi arudi home kuchukua funguo za ofisi na kubadili nguo ndo aende kwa ofisi...
siku moja (nikiwa nimeshaolewa) nilimwuliza uncle kulikoni? akaniambia hawa wa mtaa wa sita hawaaminiki.... anaweza kukuharibia hata kazi..... sasa sijui kwa nini wanawafwata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:heh:
huyo ni nyumba ndogo au mke mwenza? nijuavyo mie n/ndogo anafichwa au ndio mambo ya ''open marriage''?
 
We nenda tu kamwambie mkeo kuwa ufunguo ameuficha nyumba ndogo,kwan nini bwana?
 
Naomba namba yake ya cm,najua dawa yake hatasumbua huyo.Hata mm imewah nitokea nkamalza bla ubish!
 
mdanganye mwambie mbadili kiwanja atatoa funguo halafu utajuwa cha kufanya usionyeshe mapepe ya kutaka kurudi home mwambie leo tunakuwa wote mpk asubuhi akitoa tu funguo unamubadilikia


Hapa kuna element ya ukomavu na uzoefu...

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom