Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
nahic huyu mama hakutegemea yangefikia huku, yeye alidhani ni mzee akajistareheshe ajirudie nyumbani kumbe cvyo, hawana jema hawa, mie hiyo ruhusa nicngeitoa milele na nyumbani jamani tucamshane maucku sana kufungua geti, nahc yatatokea kama ya cjui ni kocha yule Masanja.
Mimi nahisi huyu baba ni mkali sana kwa mkewe na atakuwa anampiga sana.Hampi nafasi ya kujieleza wala kuongea.Si Carmel ashasema ana wivu wa kupitiliza.