swahibu ramadhani
Member
- Apr 30, 2021
- 49
- 28
Ndugu zangu Mimi nataka kujenga nyumba ya vyumba viwili na sebule vyenye meter 4 lakini choo Cha public ni Cha nje.
Muundo wa nyumba ni wa(L) Inaweza kugalimu shingapi mpaka kuamia.
Msaada please.
Muundo wa nyumba ni wa(L) Inaweza kugalimu shingapi mpaka kuamia.
Msaada please.