kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 125
- 8
Wana jamii
Hivi ni kweli nyumba mpya za serikali zilizojengwa wakati wa awamu ya Tatu,kule Masaki,mikocheni karibu na usalama na kule mikocheni viwandani kuna baadhi wameuziwa viongozi ambao hawakuendelea na madaraka aidha kwa kustaafu au kukosa ubunge?, hebu tuliangalie hili!
Hivi ni kweli nyumba mpya za serikali zilizojengwa wakati wa awamu ya Tatu,kule Masaki,mikocheni karibu na usalama na kule mikocheni viwandani kuna baadhi wameuziwa viongozi ambao hawakuendelea na madaraka aidha kwa kustaafu au kukosa ubunge?, hebu tuliangalie hili!