Nyumba mpya ya Kupanga Kijitonyama

kasinge

JF-Expert Member
May 22, 2011
1,259
319
Nyumba mpya Kijitonyama inapangishwa. Ina bed room 2 na master 1 zote kubwa. Ina jiko kubwa pamoja ba public toilet. Pia inafikika kirahisi maeneo karibu na Kigango cha RC eneo la Contena Bar. Iko fenced na kar parking ipo kama magari mawili. Kodi sh. 700,000 kwa mwezi. Hakuna dalali, unakutana na mwenye nyumba moja kwa moja. Kwa mawasiliano, piga 0713 377 616.
 
Ukiona bei ghali basi hili tangazo halikuhusu.. Ngoja nisepe zangu manake pia sihusiki hapa :car:
Kama ni hivo hilo tangazo haliwahusu wengi sana labda wafanyakazi wa kigeni wa mashirika ya kimataifa wanaokaa Dar au mafisadi wa epa lakni kwa Mtanzania wa kawaida ni ngumu sana
 
Kama ni hivo hilo tangazo haliwahusu wengi sana labda wafanyakazi wa kigeni wa mashirika ya kimataifa wanaokaa Dar au mafisadi wa epa lakni kwa Mtanzania wa kawaida ni ngumu sana

Nimependa avator yako. Boeng 747 Air Force One. Dah!
AirForce1_Desk_B_P2.jpg

Muda si mrefu nilikua naangalia documentary moja hivi kwenye tv kuhusu hii mambo
 
Kwa hii bei ukipata mteja pm me nikupe champagne ya bure.... be serious..... This is biggest ever problem to Tz... mtu anapost kitu hata kwa bei aliyoweka still can't get a customer.... may be tshs 250,000/= ndio utapata...

QUOTE=kasinge;5098448]Nyumba mpya Kijitonyama inapangishwa. Ina bed room 2 na master 1 zote kubwa. Ina jiko kubwa pamoja ba public toilet. Pia inafikika kirahisi maeneo karibu na Kigango cha RC eneo la Contena Bar. Iko fenced na kar parking ipo kama magari mawili. Kodi sh. 700,000 kwa mwezi. Hakuna dalali, unakutana na mwenye nyumba moja kwa moja. Kwa mawasiliano, piga 0713 377 616.[/QUOTE]
 
Kwa hii bei ukipata mteja pm me nikupe champagne ya bure.... be serious..... This is biggest ever problem to Tz... mtu anapost kitu hata kwa bei aliyoweka still can't get a customer.... may be tshs 250,000/= ndio utapata...

QUOTE=kasinge;5098448]Nyumba mpya Kijitonyama inapangishwa. Ina bed room 2 na master 1 zote kubwa. Ina jiko kubwa pamoja ba public toilet. Pia inafikika kirahisi maeneo karibu na Kigango cha RC eneo la Contena Bar. Iko fenced na kar parking ipo kama magari mawili. Kodi sh. 700,000 kwa mwezi. Hakuna dalali, unakutana na mwenye nyumba moja kwa moja. Kwa mawasiliano, piga 0713 377 616.
[/QUOTE]
we kwa nini unapenda kuponda matangazo na bei za wenzako , unataka kutuambia kwa Jf ni sehemu ya watu wa hali yako , wewe ni hicho kisichana kila tangazo mnaponda bei nahisi bado unanuka maziwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom