Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Nyumba moja katika mtaa wa Rufita mkoani Tabora.Imeteketea Kwa kuwaka moto.baada YA hìtilafu ya umeme kutokea.fire wafika bila Maji ya kut osha huku Mipira ikiwa Imepasuka.hivyo kulazimisha watu kuteka maji kwa ndoo kwenye gari la fire ili kuzima moto