Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

Kajuki J

Member
May 18, 2012
33
3
Nyumba kwenye plot 23*25 bedrooms 4 master kubwa ukumbi mkubwa jiko,store dinning inauzwa Mbezi Juu jirani na Tatedo bei 40m mwenye interest ani PM naambatanisha picha
 

Attachments

  • Photo0015.jpg
    Photo0015.jpg
    30.8 KB · Views: 173
Mkuu @Kajuki J

Weka picha zaidi Mkuu, tuone na Majirani tunaopkana nao. ni Muhimi maana nyumba si Jengo na Mazingira. Ila haina Udalali hiyo mkuu mbona bei ya Kuruka sana
 
Mkuu @Kajuki J

Weka picha zaidi Mkuu, tuone na Majirani tunaopkana nao. ni Muhimi maana nyumba si Jengo na Mazingira. Ila haina Udalali hiyo mkuu mbona bei ya Kuruka sana

Ukiipenda maelewano yapo hamna udalali mkuu nitaongeza picha baadae ni good neighbourhood
 
Pandisha kidogo mkuu tufanye biashara naenda site jioni nitakuletea picha zaidi simtank iko nyumba ya nyuma sio yangu
 
Hicho kiwanja ni squater au cha kupimwa? Hapo ilipo kuna barabara inayopita mbele ya nyumba? Ni umbali gani toka barabara kubwa? Currently hayo maeneo nikihitaji site nitapata kwa kiasi gani? Nipe vigezo vya kuanzia 40M kwenye boma.
 
Ni Squater lkn area nzuri majirani wamepima barabara mbele ya nyumba ukihitaji kiwanja ni 15 to 20m
 
Business matters mtaji umekata mkuu ukinikopesha 10m kwa resonable interest against this colateral sitauza
 
Business matters mtaji umekata mkuu ukinikopesha 10m kwa resonable interest against this colateral sitauza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom