Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,159
- 11,466
Jamaa yangu alichukua mkopo benki kwa kuweka nyumba yake kama dhamana. Sasa kashindwa kupeleka marejesho miezi miwili. Leo kampuni ya udalali imekuja na kumpa barua ya kwamba benki hiyo imempa mamlaka ya kuiuza na kumpa notice ya siku 14.
Mkopaji anasema hajashindwa kupeleka marejesho alipatwa na dharula na kwamba wampe muda ataendelea kupeleka marejesho. Sasa wajuzi au wazoefu wa sheria inasemaje na inampa muda gani kabla ya kupiga mnada hiyo dhamana? BoT amabyo ina regulate ( inarekebisha) sheria kandamizi za mabenki inampa mkopaji muda gani kabla ya dhamana kupigwa mnada? Inavyoonekana jamaa wanataka kumnyanganya nyumba bila ya kupewa muda ( grace period)
Mkopaji anasema hajashindwa kupeleka marejesho alipatwa na dharula na kwamba wampe muda ataendelea kupeleka marejesho. Sasa wajuzi au wazoefu wa sheria inasemaje na inampa muda gani kabla ya kupiga mnada hiyo dhamana? BoT amabyo ina regulate ( inarekebisha) sheria kandamizi za mabenki inampa mkopaji muda gani kabla ya dhamana kupigwa mnada? Inavyoonekana jamaa wanataka kumnyanganya nyumba bila ya kupewa muda ( grace period)