Habari,
Natafuta housemate
Nimepata nyumba kijitonyama, mtaa wa kakobe (mtaa 1 kabla ya barabara ya Africa sana - K'nyama) mita 100 kutoka barabara ya science- mtogole...natafuta housemate
SEHEMU YA HOUSEMATE:
upande wake unaojitegemea, chumba 1 na sebule (vimeunganishwa) anaingia kwenye geti lake peke yake.
Choo kipo kwa nje (ndani ya fense)
Kodi: 130,000 inalipwa kwa mwaka
Maji yapo....nyumba inapangishwa kuanzia tarehe 20/12/2012
Ni Pm au email mbaruku_rehema@yahoo.com
Natafuta housemate
Nimepata nyumba kijitonyama, mtaa wa kakobe (mtaa 1 kabla ya barabara ya Africa sana - K'nyama) mita 100 kutoka barabara ya science- mtogole...natafuta housemate
SEHEMU YA HOUSEMATE:
upande wake unaojitegemea, chumba 1 na sebule (vimeunganishwa) anaingia kwenye geti lake peke yake.
Choo kipo kwa nje (ndani ya fense)
Kodi: 130,000 inalipwa kwa mwaka
Maji yapo....nyumba inapangishwa kuanzia tarehe 20/12/2012
Ni Pm au email mbaruku_rehema@yahoo.com