Nyumba ipi ni nzuri kati ya hizi mbili

MAUBIG

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,038
854
Hii ni nyumba ya kila mtu angependa kuwa nayo lakini.................................................................
 

Attachments

  • aa.jpg
    aa.jpg
    90.8 KB · Views: 184
  • aaa.jpg
    aaa.jpg
    63.2 KB · Views: 174
  • bb.jpg
    bb.jpg
    107.1 KB · Views: 187
  • bbb.jpg
    bbb.jpg
    67.4 KB · Views: 163
  • cc.jpg
    cc.jpg
    100.1 KB · Views: 233
  • ff.jpg
    ff.jpg
    51 KB · Views: 192
  • ee.jpg
    ee.jpg
    78.2 KB · Views: 197
  • ddd.jpg
    ddd.jpg
    66.6 KB · Views: 206
  • dd.jpg
    dd.jpg
    72.4 KB · Views: 239
  • ccc.jpg
    ccc.jpg
    67.6 KB · Views: 167
  • mm.jpg
    mm.jpg
    80.1 KB · Views: 364
  • ll.jpg
    ll.jpg
    91.5 KB · Views: 306
  • kk.jpg
    kk.jpg
    75.1 KB · Views: 223
  • ii.jpg
    ii.jpg
    65.3 KB · Views: 228
  • hh.jpg
    hh.jpg
    52.8 KB · Views: 191
  • oo.jpg
    oo.jpg
    71.1 KB · Views: 141
  • pp.jpg
    pp.jpg
    45.6 KB · Views: 144
  • qq.jpg
    qq.jpg
    79.9 KB · Views: 141
  • rr.jpg
    rr.jpg
    64.2 KB · Views: 155
  • yy.jpg
    yy.jpg
    58.6 KB · Views: 158
  • xx.jpg
    xx.jpg
    62.1 KB · Views: 144
  • uu.jpg
    uu.jpg
    46.4 KB · Views: 140
  • tt.jpg
    tt.jpg
    68.4 KB · Views: 157
  • ss.jpg
    ss.jpg
    60.2 KB · Views: 148
  • zz.jpg
    zz.jpg
    44.4 KB · Views: 276
Nyumba ni zaidi ya kipande cha jengo! Unaweza kuta kuwa hii ni nyumba moja sasa sijui tunalinganisha nini?
Ninachosema ili uweze kulinganisha nyumba onyesha vyoo vyote, bafu, jiko, maeneo yote ya nyumba, vyumba vyote, samani zote, eneo la ukubwa, bustani kama hipo, usalama wa nyumba n.k

Maelezo machache kuhusu usilolijua yanaweza kukufanya kufanya maamuzi mabaya ya kujitia!!
 
wewe umenena vyema, ngoja mi nijitahidi kufanya yanayompendeza Mungu ili nikaka kwenye huko aliko yeye mana kama mwanadamu aliyepewa akili na Mungu amefanya hivyo itakuwaje kwa mji uliojengwa na Mungu mwenyewe?
Je umeona nyumba hii nyingine inayodumu milele............................................


TAFAKARI CHUKUA HATUAView attachment 73280
 
Ameonyesha nyumba mbili hajui achague ipi ili aijenge au ainunue! Kwangu nyumba nzuri ni ile uliyoifikira mwenyewe kuwa iwe na vyumba vingapi vyoo vingapi nk. Vile vile unataka kuijenga mahali pa namna gani mwinuko au tambarare, eneo ni kubwa kisasi gani etc. Hayo mawazo yako ukimpatia mtaalamu anakutolea kitu safi kabisa. Vile vile usisahau uwezo wako kwani ndio utakaokufikisha mahali penyewe.
Nyumba ya milele ni kitu kingine kabisa mtasha anataka kuwekeza nyie mnataka awahi huko?
 
Back
Top Bottom