Nyumba Inauzwa Ukonga-Kivule Njiapanda Shule 29,000,000/=tsh

kilanio

JF-Expert Member
May 30, 2015
221
69
Nyumba ina Hali Nzuri na Eneo kubwa, Pia ipo karibu na barabara Kuu.

Ina Sebule kubwa, dinning room,jiko,vyumba 2 vya kulala,choo na bafu..

Na pia ina Banda la nyuma lenye vyumba vitatu.Nyumba ina uzio(fensi).Nyumba ina hati ya serikal ya mtaa

Bei 29,000,000/=Tsh

Location:Kivule-Njiapanda ya shule-Dsm.Mawasiliano.0762493174

Gari inafika Hadi getin.
IMG_20200501_173914.jpg
IMG_20200501_173925.jpg
IMG_20200501_174048.jpg
IMG_20200501_174041.jpg
IMG_20200501_174044.jpg
IMG_20200501_173925.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kama MTU huna nia ya kununua au kufanya connection kuna umuhimu wa Ku comment?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom