Nyumba inauzwa million170

Meku tz

Member
Dec 16, 2016
37
18
Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni,
ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima.

bbb9ce7913712ef1cf492a769bba9369.jpg
af1b6ec75f93ac3ee91816aed70a584d.jpg
69e4b9112a5c79f4e0392f949a811705.jpg
d9e54174d3376133ecf55cb105399b61.jpg

Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
 
Ipo wap?na inauzwa kwa sababu gan?na inaukubwa gan kiwanja unapofanya biashara weka taarifa zote sio kama unauza nyanya humu
 
Inauzwa kwa sababu gani?
Mkuu kuna nyumba siku hizi zinauzwa ili kulipa madeni ya Bank maana ukisubiri waje kuipiga mnada itauzwa bei ya kutupwa kwa deal maalum ilimradi Bank warudishe pesa zao.

Hii inaitwa heri nusu shari kuliko shari kamili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom