Mkuu kuna nyumba siku hizi zinauzwa ili kulipa madeni ya Bank maana ukisubiri waje kuipiga mnada itauzwa bei ya kutupwa kwa deal maalum ilimradi Bank warudishe pesa zao.Inauzwa kwa sababu gani?
Swali zuri sana sana!Inauzwa kwa sababu gani?
itakua kwenye hifadhi hii nahisi japo sijui ni TANAPA au TANRODASInauzwa kwa sababu gani?