TULIMAJE
Member
- Jun 14, 2017
- 92
- 51
Nyumba ina wiring, gypsum kisasa,Aluminium windows, tiles, vyoo viwili ndani vyumba vya kulala 3,kitchen,sitting room, Ina miundombinu ya maji ndani,ina kisima cha maji baridi ya kunywa,Ina chumba cha nje ambacho ni stand ya tank la maji pia, ina kiwanja cha ziada mita 18 kwa 16,bati msauzi na ina pvc na solar ya akiba yenye uwezo wa kusukuma TV bila inveta (Zola) hela ya mwenye nyumba MIL. 36 .ipo chanika kidugalo Cheki picha zake
mawasiliano:Mwenyenyumba 0682825569 Kijana wake 0768412181
mawasiliano:Mwenyenyumba 0682825569 Kijana wake 0768412181