House4Sale Nyumba inauzwa MIL. 36 imekamilika idara zote mpaka miundombinu ya maji

TULIMAJE

Member
Jun 14, 2017
92
51
Nyumba ina wiring, gypsum kisasa,Aluminium windows, tiles, vyoo viwili ndani vyumba vya kulala 3,kitchen,sitting room, Ina miundombinu ya maji ndani,ina kisima cha maji baridi ya kunywa,Ina chumba cha nje ambacho ni stand ya tank la maji pia, ina kiwanja cha ziada mita 18 kwa 16,bati msauzi na ina pvc na solar ya akiba yenye uwezo wa kusukuma TV bila inveta (Zola) hela ya mwenye nyumba MIL. 36 .ipo chanika kidugalo Cheki picha zake

mawasiliano:Mwenyenyumba 0682825569 Kijana wake 0768412181
 

Attachments

  • IMG_20190120_171343.jpg
    IMG_20190120_171343.jpg
    139.1 KB · Views: 42
  • IMG_20190120_171415.jpg
    IMG_20190120_171415.jpg
    129.4 KB · Views: 47
  • IMG_20190120_171615.jpg
    IMG_20190120_171615.jpg
    59.3 KB · Views: 38
  • IMG_20190120_171558.jpg
    IMG_20190120_171558.jpg
    76.8 KB · Views: 42
  • IMG_20190120_171632.jpg
    IMG_20190120_171632.jpg
    48.9 KB · Views: 36
  • IMG_20190120_171655.jpg
    IMG_20190120_171655.jpg
    89.4 KB · Views: 44

Similar Discussions

Back
Top Bottom