dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,188
- 2,219
- Thread starter
- #2,321
Shukrani mkuuAhsante kwa taarifa...
Shukrani mkuuAhsante kwa taarifa...
Nyumba hii imeshuka Bei Ina vyumba v4 masta 2 Iko mbezi beach tangi bovu ya 3 kutoka barabara ya lami Bei ilikuwa 550mln sasahv 4000mln top
Mawasiliano zaidi 0756060183View attachment 2226049View attachment 2226050View attachment 2226052View attachment 2226053
Tsh 400m mkuuMzee umesema ni 4000mln au ulimaanisha 400m??
Umeona eeh ndg.karibu uishi kitajiriFurushi la mchanga limetulia
Upande wa kulia mkuuIpo upande upi kama unatokea mwenge?
Mkuu njoo ununue nyumba hii tumepunguza bei we endelea kuhoji picha zimepigwa vibaya wenzio wanakuja kuona na kununua.Umepiga picha kama unafukuzwa. Maeneo mengi hayajaoneshwa!!!
Subiri nitandike mkeka wa odds 500000 kwa shs 5000 betpawaNyumba hii imeshuka Bei Ina vyumba v4 masta 2 Iko mbezi beach tangi bovu ya 3 kutoka barabara ya lami Bei ilikuwa 550mln sasahv Tsh 400M top
Mawasiliano zaidi 0756060183View attachment 2226049View attachment 2226050View attachment 2226052View attachment 2226053
Sawa mkuuIkifika 200M uniambie mkuu
Mkuu picha za ndani bado anaishi mtu. Amegoma anasema nipeleke mteja akague nyumba moja kwa mojaMkuu naomba uweke picha za ndani.