House4Sale Nyumba inauzwa Mbeya mjini karibu na stand ya Nanenane

Unapajua nane nane stand?
Ndio shida ya nyumba za uswahilini.Naijua PM luxury hotel iko kando ya ile barabara inaenda Isyesye ila sasa nyuma ya ile hotel kuna nyumba hakuna mitaa sijui unaingilia wapi.

Kama ni pale ilipo hotel kuna njia ya mtaa ya vumbi sasa sijui ndiko nyumba ilipo au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom