Nyumba inauzwa, malipo kwa Awamu

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Sep 28, 2013
455
875
Nyumba inauzwa
Bei=mil40
Mahali=Twangoma km 2.5 kutoka barabara ya rami ya kigamboni.
Vyumba 3 vikubwa, kimoja master .
Sebule kubwa, dining,choo cha public .
Eneo la kujenga nyumba nyingine lipo .
Kama una cash, maelewano yapo .
Kulipa kwa awamu fixed 40mil.
ed9d326ad1092c9efac4270e95cf9abe.jpg

3a85b8a160bc4a354fd7fd322ac7b9c3.jpg
 
Still Bado bei Kubwa,
Ukitoa Kiwanja 10 mil hapo hiyo 30mil iliyobaki ni kubwa sana ukilinganisha kwa hapo nyumba ilipofikia
 
kama kiwanja kimepimwa hakina longo longo 30m ipo.. nakupa m20 next week.. na kila mwezi 1m hadi itimie 10m yako... nichek pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom