Nyumba inauzwa kigamboni karibia na NHC

DalaliMsomi

Member
Feb 8, 2019
85
114
NYUMBA INAUZWA

DESCRIPTION:
Ni nyumba ya vyumba vitatu kimoja ni master room,pia ina dinning,sitting,public toilet na parking
Eneo lina sqm 2000 zikiwa zimegawanywa sqm 1ooo kwa ajili ya makazi na sqm 1000 ni mabwawa matatu ya kufugia samaki
Na huu mradi wa samaki unafanya kazi na samaki zinauzwa
Imezungushiwa fensi yote

SERVICES;
maji ya dawasco na umeme wa tanesco

LOCATION;
nyumba ipo kigamboni karibia na nyumba za dege au za NHC

BEI;
Tsh milion 235/mazungumzo yapo

DOCUMENTS:
ina hati miliki kabisa

MAWASILIANO:
Simu au whatapp (0673540985 au 0765532858)

NJOO KWA DALALIMSOMI UJIPATIE UNACHO KITAKA
IMG-20190212-WA0013.jpeg
IMG-20190212-WA0011.jpeg
IMG-20190212-WA0014.jpeg
IMG-20190212-WA0010.jpeg
IMG-20190212-WA0012.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
235 MILIONI HAPANA kwa kuangalia kwenye picha hio inaweza anzia kati ya 75 milioni na 120 ila zaidi ya hapo i doubt labda utupe taarifa zaidi kuhusu mradi wa samaki
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom