Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Madalali huharibu sana biashara za watu. Ukitaka kuuza mali yako usimpe dalali katika dunia hii ya utandawazi, atakuchelewesha au atakuharibia!
Mkuu huwezi kufanya biashara bila dalali, maana kwa kufanya hivyo ni sawa na kusema ufanye biashara bila matangazo
 
Mkuu huwezi kufanya biashara bila dalali, maana kwa kufanya hivyo ni sawa na kusema ufanye biashara bila matangazo
Yaani, mimi nashindwa kupost kitu changu mtandaoni kuuza mpaka nitafute dalali? Ninachosema madalali wanapandisha bei kuliko bei ya mwenye mali. nafahamu nyumba moja huko Dar es Salaam mwenyewe anauza milioni 50 tu, lakini dalali kakomaa kuuza milioni 80! matokeo yake mwenye nyumba anachelewa kupata mnunuzi, na dalali hana haraka kwa kuwa anapata mia mbi tatu kila siku anapoenda kuonyesha watu nyumba za kupanga, viwanja nakadhalika
 
Yaani, mimi nashindwa kupost kitu changu mtandaoni kuuza mpaka nitafute dalali? Ninachosema madalali wanapandisha bei kuliko bei ya mwenye mali. nafahamu nyumba moja huko Dar es Salaam mwenyewe anauza milioni 50 tu, lakini dalali kakomaa kuuza milioni 80! matokeo yake mwenye nyumba anachelewa kupata mnunuzi, na dalali hana haraka kwa kuwa anapata mia mbi tatu kila siku anapoenda kuonyesha watu nyumba za kupanga, viwanja nakadhalika
Sawa mkuu ila sisi hatuongezi pesa kwenye bei ya muuzaji bali malipo yetu ni commission tu za kawaida na zenyewe ni za kujadiriana na sio za lazima.
Lakini yote kwa yote uwamuzi ni wako mkuu kutumia Dalali au kutafuta mteja au muuzaji mwenyewe.
Lakni mkuu nakuomba usiache kutupa kazi sisi ni waungwana sana
 
Sawa mkuu ila sisi hatuongezi pesa kwenye bei ya muuzaji bali malipo yetu ni commission tu za kawaida na zenyewe ni za kujadiriana na sio za lazima.
Lakini yote kwa yote uwamuzi ni wako mkuu kutumia Dalali au kutafuta mteja au muuzaji mwenyewe.
Lakni mkuu nakuomba usiache kutupa kazi sisi ni waungwana sana
wewe kweli umeenda shule ya sales, lugha yako haina ukakasi ni lugha ya kushawishi kwa nguvu ya biashara very soon utauza. siyo kama watu wengine wakipewa challenge kidogo hata utani povu kama lote
 
Kiwanja kipo Tangibovu jirani na Shule ya JK Nyerere
Ukubwa wa kiwanja 900 SQM
Bei Tsh. 175M
Maongezi zaidi 0756060183

20210311_105037.jpg



20210311_105044.jpg
 
Located at Kijichi - Mbagala Kuu
  • 4 Bedrooms House (2 Self)
  • Big windows
  • Kitchen
  • Sitting room
  • Dining room
  • Common toilet ( public toilet)
  • Water --- Fenced
  • An ideal for Residence
  • Price: Tsh. 150 Mil (Negotiated)
  • Plot size. 900 Sqm.
  • Documents: Surveyed - Clean Title deed
  • Inagusa barabara kubwa ya lami - Mbagala Kuu
Maelezo zaidi 0756060183

IMG-20210318-WA0004.jpg
IMG-20210318-WA0002.jpg
IMG-20210318-WA0001.jpg
IMG-20210318-WA0000.jpg
IMG-20210318-WA0003.jpg
IMG-20210317-WA0001.jpg
 
Nimeshauriana na mwenye hii nyumba tumekubaliana kupunguza bei kidogo..karibu ndg mteja wetu utupe ofa yako
 
Back
Top Bottom