dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,188
- 2,219
- Thread starter
- #961
Wakuu tumeshauriana na muuzaji tupunguze bei kidogo ya nyumba..karibu utupe ofa yako
Madalali huharibu sana biashara za watu. Ukitaka kuuza mali yako usimpe dalali katika dunia hii ya utandawazi, atakuchelewesha au atakuharibia!M270 sidhani kama inalingana na hiyo nyumba
Mkuu huwezi kufanya biashara bila dalali, maana kwa kufanya hivyo ni sawa na kusema ufanye biashara bila matangazoMadalali huharibu sana biashara za watu. Ukitaka kuuza mali yako usimpe dalali katika dunia hii ya utandawazi, atakuchelewesha au atakuharibia!
Yaani, mimi nashindwa kupost kitu changu mtandaoni kuuza mpaka nitafute dalali? Ninachosema madalali wanapandisha bei kuliko bei ya mwenye mali. nafahamu nyumba moja huko Dar es Salaam mwenyewe anauza milioni 50 tu, lakini dalali kakomaa kuuza milioni 80! matokeo yake mwenye nyumba anachelewa kupata mnunuzi, na dalali hana haraka kwa kuwa anapata mia mbi tatu kila siku anapoenda kuonyesha watu nyumba za kupanga, viwanja nakadhalikaMkuu huwezi kufanya biashara bila dalali, maana kwa kufanya hivyo ni sawa na kusema ufanye biashara bila matangazo
Sawa mkuu ila sisi hatuongezi pesa kwenye bei ya muuzaji bali malipo yetu ni commission tu za kawaida na zenyewe ni za kujadiriana na sio za lazima.Yaani, mimi nashindwa kupost kitu changu mtandaoni kuuza mpaka nitafute dalali? Ninachosema madalali wanapandisha bei kuliko bei ya mwenye mali. nafahamu nyumba moja huko Dar es Salaam mwenyewe anauza milioni 50 tu, lakini dalali kakomaa kuuza milioni 80! matokeo yake mwenye nyumba anachelewa kupata mnunuzi, na dalali hana haraka kwa kuwa anapata mia mbi tatu kila siku anapoenda kuonyesha watu nyumba za kupanga, viwanja nakadhalika
wewe kweli umeenda shule ya sales, lugha yako haina ukakasi ni lugha ya kushawishi kwa nguvu ya biashara very soon utauza. siyo kama watu wengine wakipewa challenge kidogo hata utani povu kama loteSawa mkuu ila sisi hatuongezi pesa kwenye bei ya muuzaji bali malipo yetu ni commission tu za kawaida na zenyewe ni za kujadiriana na sio za lazima.
Lakini yote kwa yote uwamuzi ni wako mkuu kutumia Dalali au kutafuta mteja au muuzaji mwenyewe.
Lakni mkuu nakuomba usiache kutupa kazi sisi ni waungwana sana
Nashkr sana mkuuwewe kweli umeenda shule ya sales, lugha yako haina ukakasi ni lugha ya kushawishi kwa nguvu ya biashara very soon utauza. siyo kama watu wengine wakipewa challenge kidogo hata utani povu kama lote
Kabisa mkuuMadalali huharibu sana biashara za watu. Ukitaka kuuza mali yako usimpe dalali katika dunia hii ya utandawazi, atakuchelewesha au atakuharibia!
Karibu mkuu uje uone kwanza then tutaongeaVipi 150 hachukui?
Karibu sana mkuu na nyumba zipo
Karibu mkuu uje uone kwanza then tutaongea
Sawa mkuuSawa, ngoja kidogo huu upepo upite.
Mkuu njoo uone ninavyo vingine Goba,Bunju, mapinga, kerege,kigamboniNakupa Mil 18 cash