naomba unisaidaie kupeleka habari hii kwa wana jamii kwamba nyumba iliyopo kwembe mpakani kilomita 2 kutoka barabara ya mororgoro ukipitia pale kituo cha mafuata cha natoil kabla ya kibamba inauzwa.
kiwanja na nyumba vimepimwa na wizara ya ardhi na kimelipiwa gharama zote na offer na documnets zote zipo. Tittle deed ipo kwenye hatua za mwisho. Kiwanja kinaukumbwa wa square metter 1518, nyumba kama unavyoiona imeshaezekwa.
asking pricing ni 100,000,000/= (milioni mia moja shilingi za kitanzania)
serious people wawasiliane na mr. Dennis ngasoma 0719 173444 au 0754 449932 for inspection na kwa maelezo zaidi kuhusu nyumba hii. Huyu ni jirani yangu ambaye anaweza kuwasaidia wateja pindi wakitaka kutemebelea kuona nyumba.
natanguliza shukurani za dhati
asanteni
kiwanja na nyumba vimepimwa na wizara ya ardhi na kimelipiwa gharama zote na offer na documnets zote zipo. Tittle deed ipo kwenye hatua za mwisho. Kiwanja kinaukumbwa wa square metter 1518, nyumba kama unavyoiona imeshaezekwa.
asking pricing ni 100,000,000/= (milioni mia moja shilingi za kitanzania)
serious people wawasiliane na mr. Dennis ngasoma 0719 173444 au 0754 449932 for inspection na kwa maelezo zaidi kuhusu nyumba hii. Huyu ni jirani yangu ambaye anaweza kuwasaidia wateja pindi wakitaka kutemebelea kuona nyumba.
natanguliza shukurani za dhati
asanteni