Elections 2010 Nyumba inauzwa ipo kwembe mpakani kilomia 2 kutoka morogoro road

bitale

New Member
Nov 3, 2010
1
0
naomba unisaidaie kupeleka habari hii kwa wana jamii kwamba nyumba iliyopo kwembe mpakani kilomita 2 kutoka barabara ya mororgoro ukipitia pale kituo cha mafuata cha natoil kabla ya kibamba inauzwa.

kiwanja na nyumba vimepimwa na wizara ya ardhi na kimelipiwa gharama zote na offer na documnets zote zipo. Tittle deed ipo kwenye hatua za mwisho. Kiwanja kinaukumbwa wa square metter 1518, nyumba kama unavyoiona imeshaezekwa.

asking pricing ni 100,000,000/= (milioni mia moja shilingi za kitanzania)

serious people wawasiliane na mr. Dennis ngasoma 0719 173444 au 0754 449932 for inspection na kwa maelezo zaidi kuhusu nyumba hii. Huyu ni jirani yangu ambaye anaweza kuwasaidia wateja pindi wakitaka kutemebelea kuona nyumba.

natanguliza shukurani za dhati

asanteni
 

Attachments

  • IMG00015-20091230-1144.jpg
    IMG00015-20091230-1144.jpg
    60.2 KB · Views: 54
  • IMG00022-20091230-1151.jpg
    IMG00022-20091230-1151.jpg
    255.3 KB · Views: 62
  • IMG00014-20091230-1143.jpg
    IMG00014-20091230-1143.jpg
    56.1 KB · Views: 58
  • IMG00018-20091230-1146.jpg
    IMG00018-20091230-1146.jpg
    60.9 KB · Views: 47
  • IMG00021-20091230-1150.jpg
    IMG00021-20091230-1150.jpg
    294.3 KB · Views: 42
  • IMG00020-20091230-1150.jpg
    IMG00020-20091230-1150.jpg
    321.5 KB · Views: 72
naomba unisaidaie kupeleka habari hii kwa wana jamii kwamba nyumba iliyopo kwembe mpakani kilomita 2 kutoka barabara ya mororgoro ukipitia pale kituo cha mafuata cha natoil kabla ya kibamba inauzwa.

kiwanja na nyumba vimepimwa na wizara ya ardhi na kimelipiwa gharama zote na offer na documnets zote zipo. Tittle deed ipo kwenye hatua za mwisho. Kiwanja kinaukumbwa wa square metter 1518, nyumba kama unavyoiona imeshaezekwa.

asking pricing ni 100,000,000/= (milioni mia moja shilingi za kitanzania)

serious people wawasiliane na mr. Dennis ngasoma 0719 173444 au 0754 449932 for inspection na kwa maelezo zaidi kuhusu nyumba hii. Huyu ni jirani yangu ambaye anaweza kuwasaidia wateja pindi wakitaka kutemebelea kuona nyumba.

natanguliza shukurani za dhati

asanteni
Acha ujinga wewe, inamaana hujui hapa si mahala pake??????, Pia bei siyo realistic kwa morogoro navyoifahamu
 
Acha ujinga wewe, inamaana hujui hapa si mahala pake??????, Pia bei siyo realistic kwa morogoro navyoifahamu

Ni kweli mkuu, hukuwa na sababu ya kumtukana member mwenzako na hajatukana ktk post yake wala nini. Kakosea tuu wapi waeke tangazo lake. Ungemsaidia maelekezo kuwa hapa sio jukwaa lake na apeleke ktk jukwaa la matangazo, na wala isingekugharimu chochote.

Ndugu Pascal, usichukie sana, unajua tena kipindi hiki cha uchakachuaji wa matokeo, watu bado wana hasira. Lakini kwa kawaida watu wa jamvi hili huwa ni wastaarabu sana.
Nina imani wanaohusika ... modes ..... mtamsaidia mwenzentu kumwekea post yake kunakohusika.
 
naomba unisaidaie kupeleka habari hii kwa wana jamii kwamba nyumba iliyopo kwembe mpakani kilomita 2 kutoka barabara ya mororgoro ukipitia pale kituo cha mafuata cha natoil kabla ya kibamba inauzwa.

kiwanja na nyumba vimepimwa na wizara ya ardhi na kimelipiwa gharama zote na offer na documnets zote zipo. Tittle deed ipo kwenye hatua za mwisho. Kiwanja kinaukumbwa wa square metter 1518, nyumba kama unavyoiona imeshaezekwa.

asking pricing ni 100,000,000/= (milioni mia moja shilingi za kitanzania)

serious people wawasiliane na mr. Dennis ngasoma 0719 173444 au 0754 449932 for inspection na kwa maelezo zaidi kuhusu nyumba hii. Huyu ni jirani yangu ambaye anaweza kuwasaidia wateja pindi wakitaka kutemebelea kuona nyumba.

natanguliza shukurani za dhati

asanteni

sasa hiyo nyumba mpaka ikamilike na kuwa nyumba ya maana na ukuta na kila kitu si chini ya milioni 50, ukijumlisha na hiyo ya kununulia inakuwa 150milion,
unajua saa nyingine mtu inabidi uwe mstaarabu, jaribu kuuza 50m ili cost zingine zifike 50 na jumla mtu imcost kwenye mia hivi

bei kubwa sana
 
Tusimhukumu. Huwezi jua kama nyumba ina connection na matokeo ya uchaguzi.
 
Wazee msisahau pia kuwa eneo la kwembe limechukuliwa na serikali kwa ajili ya chuo cha afya cha muhimbili na watu wanalipwa fidia. Kuweni macho!
 
Back
Top Bottom