Salaam wana forum!
Kuna nyumba nimeamua kuiuza ipo gongolamboto B.Details zake ni kama ifuatavyo:-
1.Ina fensi
2.3rooms plus 2 rooms outside in total there are 5rooms
3.Choo cha ndani na bafu pia na nje.
4.Sehemu ya kulia chakula na sebule kubwa
nyumba ipo karibu na barabara,jirani na shule ya msingi ya gongolamboto B.
Hati na documents zote zipo.Biashara ni maelewano ndugu zangu.
Contacts me at.
Shukusagati@gmail.com
NB.
Madalali wa uwakika mtakubalika
Kuna nyumba nimeamua kuiuza ipo gongolamboto B.Details zake ni kama ifuatavyo:-
1.Ina fensi
2.3rooms plus 2 rooms outside in total there are 5rooms
3.Choo cha ndani na bafu pia na nje.
4.Sehemu ya kulia chakula na sebule kubwa
nyumba ipo karibu na barabara,jirani na shule ya msingi ya gongolamboto B.
Hati na documents zote zipo.Biashara ni maelewano ndugu zangu.
Contacts me at.
Shukusagati@gmail.com
NB.
Madalali wa uwakika mtakubalika