Nyumba inauzwa bamoja na kiwanja

peter chula

Senior Member
Jun 8, 2013
123
68
Nyumba inauzwa pamoja na kiwanja chake kipo
Mkoa *arusha* wilaya meru usariver karibu na chuo kikuu cha Arusha

Nyumba ina sifa zifuatazo;

1.Ina wigo wa nyavu
2.Ina umeme
3.Ina maji
4.Ina mpangaji
5.Imepigwa rangi
6.Ipo karibu na barabara ya kuelekea arusha national park.
Bei ni mil 15 tu pesa ina itajika ndani ya mwezi huu karibu nitafute kupitia no
0762941817, 0624000278

68fca476771c4de126284a3b1c13d3d7.jpg
914de2aade3619077375e6949699967e.jpg
5f7be94303be1e94d0b4c8ba0014d056.jpg
 
Nyumba inauzwa pamoja na kiwanja chake kipo
Mkoa *arusha* wilaya meru usariver karibu na chuo kikuu cha Arusha

Nyumba ina sifa zifuatazo;

1.Ina wigo wa nyavu
2.Ina umeme
3.Ina maji
4.Ina mpangaji
5.Imepigwa rangi
6.Ipo karibu na barabara ya kuelekea arusha national park.
Bei ni mil 15 tu pesa ina itajika ndani ya mwezi huu karibu nitafute kupitia no
0762941817, 0624000278

68fca476771c4de126284a3b1c13d3d7.jpg
914de2aade3619077375e6949699967e.jpg
5f7be94303be1e94d0b4c8ba0014d056.jpg
Kiwanja Ukubwa gani?? Kimepimwa??
 
Back
Top Bottom