bobycasablanca
Member
- Nov 25, 2013
- 56
- 9
Nyumba kubwa na nzuri inapangishwa ipo mikocheni ina vyumba viwili, kimoja na masterbedroom, jiko bafu na choo na sebule, maji ya uhakika, parking ya kutosha, ipo sehem nzuri sana
Bei ni shilingi laki nne na nusu kwa mwezi
Ukitaka kuiona wasiliana nami kwa sim 0716 85 06 95
Kama unataka kupanga nyumba hakika njoo uione hii ili uweze kufanya uamuzi wako
Bei ni shilingi laki nne na nusu kwa mwezi
Ukitaka kuiona wasiliana nami kwa sim 0716 85 06 95
Kama unataka kupanga nyumba hakika njoo uione hii ili uweze kufanya uamuzi wako