mkuu uko sawa kabisambagala kuna nyumba safi na ya kisasa ina vyumba vinne vya kulala,dinning roon na sitting roon yaani iko full gharama yake ni tsh.250,000 kwa mwezi
sifa za mbagala:
-kuna barabara safi
-ni rahisi kufika mjini
-kuna shule nzuri zikiwemo international kuanzia kindergatten-advance
-kuna benki zote hivyo huwezi kupata shida yoyote ya kibenki
-kuna hospitali
karibu.
mkuu uko sawa kabisa
maisha bora kwa daslam yako mbagala, asikudanganye mtu yoyote!!.
Ile kambi ya Jeshi wamehamisha au bado? na Mabomu yote wameishayafyatua au?
Saalaam Sana,
Napangisha NYUMBA vy Vyumba vitatu iko UNUNIO BEACH . Kodi ni Shs 520,000 kwa Mwezi ,Maelewanbo yapo. Nyumba ina Vyumba Vinne,Sebule na Dining ,Jiko ,Korridor na Vyoo Vitatu kamili. Imezungukwa na UKUTA na kuna Parking ya Magari 4.
Vipi kuhusu mabomu? mbona hujatoa tahadhari?mbagala kuna nyumba safi na ya kisasa ina vyumba vinne vya kulala,dinning roon na sitting roon yaani iko full gharama yake ni tsh.250,000 kwa mwezi
sifa za mbagala:
-kuna barabara safi
-ni rahisi kufika mjini
-kuna shule nzuri zikiwemo international kuanzia kindergatten-advance
-kuna benki zote hivyo huwezi kupata shida yoyote ya kibenki
-kuna hospitali
karibu.
Onana na madalali wa hiyo sehemu, utapata kila kitu!kama umejenga huko, wewe ni mwenyeji, mkuu sijui unaweza nisaidia kupata kiwanja huko ununio?