IBRABABRA
Member
- Oct 21, 2015
- 40
- 12
Nyumba inapangishwa iko Morogoro,kihonda magorofani karibu na St.Fransis seminary,Ina vyumba Vitatu,Master Moja na vyumba vingine viwili.Ina public toilet,kitchen na sitting room Pia Ina fance na Toilet nyingine ya inje in case una function yoyote,Pia kuna storage tank ya ujazo wa lita 2000,Pia kuna Kisima cha kina kirefu mita 90 na Maji baridi yasio na chumvi.Kodi yake ni Tsh 350'000/,mwenye interest ani inbox.Ahsanten