Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,270
- 2,417
Shukrani...Pia tukumbuke kua Pwani yetu iliwai kua na vita ya kidini kati ya Waislam na Wakristo kuanzia Waarabu na Wareno na mwisho. Wakristo wakiwa wanaongozwa na Wajeruman..huku makabila mengi ya pwani yakiwa tayari yameupokea Uislam kitu kilichowachukiza watubkutoka Ulaya...yaani Wareno na Wajerumani.
(CRUSH OF CIVILIZATION)
(CRUSH OF CIVILIZATION)