Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii shida ya umeme na maji tutashuhudia mengi sanaNYUMBA hiyo ilijengwa mwaka 2012/2013 kwa ajili yangu wilayani Lushoto mkoani Tanga tena bila taarifa na bila idhini yangu. DJ. DON NALIMISON nilishangaa Sana kujengewa NYUMBA ya kishamba shamba Kama gofu huku hati ya NYUMBA imeandikwa jina la mtu mwingine...
Kama umri huo bado hujapata mtoto, basi ujiandae kuja kuitwa babu na mtoto wako.NYUMBA hiyo ilijengwa mwaka 2012/2013 kwa ajili yangu wilayani Lushoto mkoani Tanga tena bila taarifa na bila idhini yangu. DJ. DON NALIMISON nilishangaa Sana kujengewa NYUMBA ya kishamba shamba Kama gofu huku hati ya NYUMBA imeandikwa jina la mtu mwingine...
Siku nyingine tena na salamu kutoka kwa don.kumekucha
Tafuta uzi zake zote kuanzia kipindi anajiita deogratius kisandu nalimi..ndio itamjua ni nani...ana historia ndefu kidogo hapa jf..pia nenda fbk utapata info zake za kutosha..kisha ndio utajua ni mtu wa aina gani..ila kiufupi nati haziko sawa.Hivi huyu mtu ni nani hasa? Anayemfahamu vizuri anifahamishe. Au hata wewe ndugu Dj DON NALIMISON unaweza kunifamisha. Je, ni mwanasiasa au mwanaharakati? Hili ni andiko lako pili nalisoma. Inaonekana kuna watu wamekuvuruga sana. Pole kwa yote yaliyokupata. Na unahitaji msaada wa karibu sana wa kisaikolojia/kijamii au msaada mwingine wowote ambao wataalamu waliobobea wataona unakufaa
Mutu ya pemba kaliNYUMBA hiyo ilijengwa mwaka 2012/2013 kwa ajili yangu wilayani Lushoto mkoani Tanga tena bila taarifa na bila idhini yangu. DJ. DON NALIMISON nilishangaa Sana kujengewa NYUMBA ya kishamba shamba Kama gofu huku hati ya NYUMBA imeandikwa jina la mtu mwingine...
Asante sana mkuu. Umenisaidia sana.Dj DON NALIMISON ni mtoto wa Mzee Kisandu wa Shinyanga huko! Zamani alikuwa akitambulika kama Deo Kisandu, kabla ya kulikana hili jina lake kupitia Mwanasheria wake! Kitaaluma ni mwalimu wa zamani wa Mkolani Sekondari huko Mwanza Jiji!...
Asante sana. Kumbe alibadilisha jina!Haaa! Wewe ni mgeni humu? Wenzio tuko nae kabla hajafungwa jela, enzi hizo ni ticha, jina lake jingine ni Deo Kisandu
Nimeambiwa kumbe alibadilisha jina, ndiyo maana nikawa simpati sawa sawa. Sasa nimeshampata Bw. Deo Kisandu wa zamaniKaka nafikiri hebu tafuta threads zake za humu ndan ndo utamjua DON... Yaan kama umesoma maandiko yake mawili bado sana.
Kuna DON mmoja tu humu... Yaan yeye ni Ubaridi kuliko Ubaridi wenyewe
Asante mkuu. Sikujua kama amebadilisha jina. Sasa nimempata Bw. Deogratius Kisandu. Inawezekana alipokuwa jela walimfanyia mambo mabaya sana.Tafuta uzi zake zote kuanzia kipindi anajiita deogratius kisandu nalimi..ndio itamjua ni nani...ana historia ndefu kidogo hapa jf..pia nenda fbk utapata info zake za kutosha..kisha ndio utajua ni mtu wa aina gani..ila kiufupi nati haziko sawa.
#MaendeleoHayanaChama
Nyuzi ipo nyuzi kaongelea yaliyomkuta jela..itafute tu.Asante mkuu. Sikujua kama amebadilisha jina. Sasa nimempata Bw. Deogratius Kisandu. Inawezekana alipokuwa jela walimfanyia mambo mabaya sana.
Kama Kelvin de BruyneAhahahahah. Mpira unapigwa mwingi sana
Hivi huyu jamaa huwa anajielewa kuwa dish linasumbua ama anajikuta tu yuko Butimba gerezaniDah ila kama ni mkono wa mtu aliyekufikisha katika hali hii na alaniwe.