Kwahiyo alivyokataa ushauri wake akaamua kumnyonga! Sidhani kama ni kweli.Alinyongwa, Mwalimu alimsihii akane awe aliua bila kukusudia alikataa katu. Dr. Kreluu alikua mwasherati wa kutembea na watoto pia wake za watu. Adabu aliipata, shujaa Mwamwindi..