Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,850
- 30,193
- Thread starter
- #21
Na mwisho wa siku na wewe utakuwa mavumbini kwa uongo unaoueneza. Wewe umekuwa kwenye kumbi nyingi za mitandao ukieneza uongo huu na pia kupalilia chuki kati ya uislamu na ukristu. Mimi nakufahamu tangu TANZANET (r.i.p.) siku zote unaeneza haya haya wala huna jipya. Ulikuwa umetulia na sasa unaanza yaleyale na jenda zile zile. Ulikuwepo wakati wa Mkapa, wakati wa Kikwete, ukatulia wakati wa Magufuli, na sasa sijui umeibukia wapi wakati wa mama (SSH). Hivi wewe huchoki kueneza chuki mitandaoni?Mwisho wa siku naye yupo mavumbini anaadhibiwa kwa dhulma alizozifanya kwa binadamu wenzie. Mwisho wa ubaya siku zote ni aibu.
ni kudra za Mungu tu mkuuIla Nyerere fundi Sana,alikaribishwa mjini na akapindua meza kibabe.Wadau mpk leo wako wanalia Lia humu JF.
Mbona povu jingi sana Mkuu? Hebu agiza soda baridi nitakuja kulipa ili upunguze hilo joto. Maana naona huu ujumbe wako umepotea njia kwani yote uliyoninasibisha nayo mimi sina. Soma tena ujue ulimlenga nani na upunguze jazba.Na mwisho wa siku na wewe utakuwa mavumbini kwa uongo unaoueneza. Wewe umekuwa kwenye kumbi nyingi za mitandao ukieneza uongo huu na pia kupalilia chuki kati ya uislamu na ukristu. Mimi nakufahamu tangu TANZANET (r.i.p.) siku zote unaeneza haya haya wala huna jipya. Ulikuwa umetulia na sasa unaanza yaleyale na jenda zile zile. Ulikuwepo wakati wa Mkapa, wakati wa Kikwete, ukatulia wakati wa Magufuli, na sasa sijui umeibukia wapi wakati wa mama (SSH). Hivi wewe huchoki kueneza chuki mitandaoni?
Wote wamekufa lakini yeye ataulizwa kwa dhulma alizofanya.Kwa hio wenzake aliowadhulumu wao hawakufa?
Alisikika malkia akiongea kwa sauti kubwa ifananayo na radi.Wote wamekufa lakini yeye ataulizwa kwa dhulma alizofanya.