Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.
Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.
Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.
TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.
Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.
Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.
TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.
Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!