Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo

Kwamba hutaki Azam wapige pesa? Hizi akili za kimasikini baadhi yenu zipo damuni kabisa

Kuhoji sio AKILI za KIMASKINI. Bali kushindwa KUHOJI , literally means hujui chochote kitu, wewe ni bora kumepambazuka.

Tunashauri sana mufundishwe to question everything, it is a sign of INTELLIGENCE
 
Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.

Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.

Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.

TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.

Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Tafuta pesa uzitumie si bora Azam je Vodacom analipa Sh Ngapi?
 
Hoja hiyo ya vifurushi kupanda ni dhahiri. kwa mpunga uliowekwa usitegemee bando likawa 20k kama ilivyo sasa. Azam hawafanyi charity pale wanafanya biashara. Tegemea hilo.
Kama hutaki kulipia nenda viwanjani kaangalie mbona simpo tu. Kama dstv wanatoza 80k kuangalia EPL kwaniAzam.walitoze 40k kuangalia ligi.


Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app

Jadili kimapana, usiwe na PUPA.

1. Vifurushi kupanda bei
2 . Wateja kuongezeka kila mwaka

3. Hata kama Demand itaongezeka vipi and of course ITAONGEZEKA, contract value ni ile ile Bil 225 for 10 Years , huku uwezekano wa Price Fluctuation ( kupandisha gharama za service yake ) ukiongezeka ni mkubwa

TAFAKARI na UPUNGUZE HISIA.
 
We kichwa maji usiye jua hata Kama tenda ilitangazwa ni kupoteza Muda kukuelewesha.

Maana hujui tenda ilitangazwa lini halafu unabisha haijatangazwa ndiyo maana nimekuambia nenda kwenye page za Hamisa na juma lokole hao ndiyo wenzako.

Neno kichwa maji halina uhusiano na mjadala wetu.

Kutokujua tena ilitangazwa lini sio hoja ya MSINGI. Hoja ya msingi sio kutangazwa, kwa uelewa wako finyu wa manunuzi ya Umma, nashauri uendelee kusoma COMMENT huenda ukajifunza kitu.

Mimi na wewe tunajenga nyumba moja
 
Wewe una post pumba zako hapa kwa manufaa ya nani?? Ficha ujinga wako mkuu!!
Ni aibu kubwa kutokujua mchango wa Azam TV kwenye kukuza soka letu!
Unakichwa kigumu sana ww kuelewa kwanza lazima utambue kua hiyo ni biashara sio msaada tff Kama wao kwanza walitangaza tenda au hawakutangaza na lazima uelewe miaka kumi sio mchezo kwa nn wasiweke mika miwili
 
Mkuu Mk54 Unafanya arguments na Watu Ambao Hata Utaratibu Wa tender hawaujui, Juzi Kati Mkuu Fohadi Alitoa Hoja Kama Hii na akainisha Mkataba ulivyo na Jinsi Azam TV watakzvyopiga Hela within Hyo 10yrs Lakini Watu wakaja na Hoja ya sjui Azam katutoa mbali sjui Nini na Nini... Hongera kwa Hii hoja
thanks for recognition mkuu...@Josh J
 
Eti jinsi azam atakavyopiga hela, huyo jamaa alisema azama ana wateja 1000000 lakini ukweli upo tcra walisema nchi nzima madish hai ni laki 4 tu sasa hayo laki 4 gawanya kwa star times, azam dstv ting nk
Mbona mnachanganya mkuu...mara unasema laki 4..mara kuna mwingine anasema 1.1m....mara wengine wanasema 2m....zipi ni data sahihi....yote kwa yote..tumepigwa
 
Mbona mnachanganya mkuu...mara unasema laki 4..mara kuna mwingine anasema 1.1m....mara wengine wanasema 2m....zipi ni data sahihi....yote kwa yote..tumepigwa
Umepigwa wewe na nani? Hivi unadhani tungeingia mkataba na nani ndio msingepigwa? Kwanini unafikiri biders wengine hawalalamiki ila huku mitandaoni nyie mnalalamika kupigwa?
 
Weka Uthibitisho hapa hapa. Sote tunajua process za Tendering na Procurement method kwa mujibu wa Procurement Act 2011, Regulation 2013 na Maboresho 2016
kwanzA zingatia, ukiacha sheria na taratibu, BADO hiyo hiyo sheria na taratibu inaweka wazi utaratibu kwa NG'Os ambazo si zakiserikali ambazo Serikali sio mshirika wake Moja kwa Moja..hizi taaisisi hazibanwi kwenye huo utaratibu na sheria ya 2011 pamoja na maborehso yake yote..hii ndio kusema kwamba taasisi binafsi ambazo hazina maslahi na Serikali zinahaki ya kuopt katika hilo, TFf na Serikali ni wabia wa kimaendeleo..katika michezo , lakini TFF inarelay zaidi kwenye sheria na taratibu za fifa (ndio kusema kwamba TFf ni mtoto wa damu kabisa wa FIFA ambaye anaangaliwa na mzazi wa kambo Serikali za nchi .) Kuthibitisha hilo..Fifa wanatoaga pesa za maendeleo kwa kila shirikisho la soka duniani , ikiwemo TFf wakat Serikali iliyotunga hizo sheria haitoi hata thumni ..


Hoja ya pili hapa ni huo mkataba wa miaka 10 kwa bili 225 bila ya kujali other factors na value for money.
Mkataba ule Kama mikataba mingine..ya muda mrefu na mfupi umezingatia value of money ...umebainisha wazi kuwa thaman ya mkataba itakuwa ikiongezeka kadri muda wa mkataba Ulivyo..ndio kusema kwamba na tutarajie ilo, mpaka kufika mwaka wa mwisho wa mkataba , klabu Bingwa mathalani atapata karibu milioni 750
 
Sina tatizo na udhamini lakini upande wa TFF hawakuwaza vizuri makubaliano ya miaka 10,ndani ya miaka 10 Azam wanaweza kufanya watakavyo maana hakutakuwa na mshindani mwingine,kutakuja mda hata vifurushi vya kuangalia mpira vitapandishwa na hamna uwezo wa kuhoji wakisema hawapati faida.

Imagine ndani ya miaka 10 ni derby ngapi za Simba vs Yanga itawaingizia hela nyingi ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani na wao hawatoi nyingi?
 
kwanzA zingatia, ukiacha sheria na taratibu, BADO hiyo hiyo sheria na taratibu inaweka wazi utaratibu kwa NG'Os ambazo si zakiserikali ambazo Serikali sio mshirika wake Moja kwa Moja..hizi taaisisi hazibanwi kwenye huo utaratibu na sheria ya 2011 pamoja na maborehso yake yote..hii ndio kusema kwamba taasisi binafsi ambazo hazina maslahi na Serikali zinahaki ya kuopt katika hilo, TFf na Serikali ni wabia wa kimaendeleo..katika michezo , lakini TFF inarelay zaidi kwenye sheria na taratibu za fifa (ndio kusema kwamba TFf ni mtoto wa damu kabisa wa FIFA ambaye anaangaliwa na mzazi wa kambo Serikali za nchi .) Kuthibitisha hilo..Fifa wanatoaga pesa za maendeleo kwa kila shirikisho la soka duniani , ikiwemo TFf wakat Serikali iliyotunga hizo sheria haitoi hata thumni ..



Mkataba ule Kama mikataba mingine..ya muda mrefu na mfupi umezingatia value of money ...umebainisha wazi kuwa thaman ya mkataba itakuwa ikiongezeka kadri muda wa mkataba Ulivyo..ndio kusema kwamba na tutarajie ilo, mpaka kufika mwaka wa mwisho wa mkataba , klabu Bingwa mathalani atapata karibu milioni 750
Hoja kama hizi mleta thiredi hajibu wapo wengi tu huko juu wamemwambia alete hivyo vifungu vya sheria hataki kabisaa kujibu.
 
Mkuu karibu sana katika majadiliano ya HOJA. Ninaamini unajua sheria za manunuzi kwa namna moja.
-
Kutangazwa kwa tenda haimaanishi chochote kama mchakato mzima wa manunuzi ukiwa COOKED. Kutangaza huko inakuwa ni kukamilisha taratibu ili ionekane taratibu zilifuatwa.
-
Kama ulivyosema HAKUNA kampuni yoyote ambayo ingezeweza , hayo ni majibu yako kabla ya mtihani.
-
Wewe umeona TANGAZO , sisi tumeeona Tender Document ambayo kimsingi Bidders were not informed in advance kuwa the contract duration itakuwa ni miaka 10 . Hata ukiangalia hako katangazo kako ka invitation to tenderers unapata majibu.
-
Kwa mujibu wa PPA’11, Framework Agreement ni miaka 2. Lengo kuu ni to take into consideration value for money and price fluctuation over time as well as demand variations. Kwa mfano kuna uwezekano ndani ya miaka 2 ijayo, active customers wa AZAM ambao ni registered waka double au increase significantly, while PIN ya AZAM itakuwa pale pale ni bil 225 kwa miaka 10 ; wakati huo huo kuna demand increases , price fluctuation kwa maana baada ya demand ikiongezeka, kuna uwezekano price ya kuona hayo matangazo ika shoutout, kwa sababu tayari Mkataba ulishasainiwa, there is no room wewe to amend contract terms .

I am pretty sure utakuja kulia lia hapa hapa JF. Hii ndiyo sababu tunahoji contract duration ya huo mkataba on which GROUND ? Kufanya hivyo ni kufunga milango ya kuboresha mapungufu SUPPLIER yaani Supplier Performance.

Aidha, ukifanya Performance Evaluation ya existing Contract, hajafika 55% . Kuna watu wengi walikuwa wanashindwa ku access hizo matches na channels despite kwamba mtu kalipia. Kuna mechi nyingi zilikuwa za KUMRADHI hatutoweza kuonesha match fulani kwa sababu fulani.....hiyo ndiyo maana ya Supplier Performance na inatoa ROOM kumpin service provider wakati wa contract renewal. Sasa umempa miaka 10 ya UHAKIKA, kwa Sheria za manunuzi maana yake ni HARUFU , and it has to be investigated.

Ni sawa na ule MKATABA wa Bagamoyo, ni PIN ya muda mrefu, MWENDAZAKE akausimamisha kwa sababu ulikuwa ni ANGAMIZO japo kwa nje ulionekana UNATIJA.
-
Tunapojadili haya mambo wengi huonesha HISIA badala ya UHALISIA ; hii ndiyo shida ya KIZAZI hiki, uwezo wa kufikiri upo chini sana
Usiwe kigeugeu katika matamshi yako, ulisema unataka kuona tangazo, limewekwa, saizi umebadili kauli. Fanya tafiti yako ya kutosha kabla ya kuandika hapa
 
Bado niko hapa nasubiri mleta mada alete majina ya wale bidders waliokuwa tayari kutoa 800bln mpaka 1 trillion.
 
Bado niko hapa nasubiri mleta mada alete majina ya wale bidders waliokuwa tayari kutoa 800bln mpaka 1 trillion.
Akileta hayo majina Naomba unitag mkuu namie nijionee, mtu anaandika tu hapa kama kakatika kichwa, akijifanya kuiona bil 222 ni hela ndogo Sana Ila unakuta hela zote za ukoo wao hawajawahi kuwa ata na bil 1 ila kwakuwa katoa mwenzao wanaona kama rahisi Tu
 
Nimeamini kuwa kuna baadhi ya Binadamu hawatosheki wao muda wote ni kujifanya wajuaji na ni mabingwa wa kupingapinga hivi mleta mada hafahamu zipo timu zikicheza mechi zake zote hazipati mapato ya hata milioni200?
Leo Azam anatoa karibu milioni500 bado tunajifanya wajuaji? Maana wengi wanaona muda mrefu mwanzoni alisaini miaka5 kwa bilioni23 kwa hiyo sasa mlitaka asaini miaka5 tena kwa bilioni35 ndio mngeona mkataba mzuri na wenye tija?

Maana mmekuwa hamueleweki mnalalamikia muda tu ingekuwa vizuri mngesema mkataba mzuri ungekuwa wa miaka? Wenye thamani ya bilioni? Na wadhamini fulani,fulani walijitokeza lakini walikataliwa kinyume na hapo ni ile ile hadithi ya akili nyingi huondoa maarifa
 
Back
Top Bottom