Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,718
- 29,233
Sio tu wapinzani.. bali wananchi wengi hawataenda. Kwann? Sababu siasa za bongo hazieleweki.
Wanasiasa hawasomeki.. + kuna chama kina access na vyombo na dola.. so kama wanaweza force mtu wao apite kwa vyovyote vile kuna haja gani kwenda kupiga kura wakati mshindi achomekwa mahali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasiasa hawasomeki.. + kuna chama kina access na vyombo na dola.. so kama wanaweza force mtu wao apite kwa vyovyote vile kuna haja gani kwenda kupiga kura wakati mshindi achomekwa mahali?
Kifupi jambo asilolijua ni kama usiku wa Giza.Upinzani ndio ukae tayari safari hii uchaguzii ujao kwanza Upinzani wengi wa wanachama wao hawataenda kupiga kura kabisa hasa Zanzibar huku bara ndio usiseme .Mwanachama wa Upinzani kumwinua akapige kura labda umnyanyue na winchi.Wengo hawataenda kabisa,S sijui Upinzani utafanyaje kuhamasisha wanachama wao wakapige Kura
Sent using Jamii Forums mobile app