Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Sio tu wapinzani.. bali wananchi wengi hawataenda. Kwann? Sababu siasa za bongo hazieleweki.
Wanasiasa hawasomeki.. + kuna chama kina access na vyombo na dola.. so kama wanaweza force mtu wao apite kwa vyovyote vile kuna haja gani kwenda kupiga kura wakati mshindi achomekwa mahali?
Kifupi jambo asilolijua ni kama usiku wa Giza.Upinzani ndio ukae tayari safari hii uchaguzii ujao kwanza Upinzani wengi wa wanachama wao hawataenda kupiga kura kabisa hasa Zanzibar huku bara ndio usiseme .Mwanachama wa Upinzani kumwinua akapige kura labda umnyanyue na winchi.Wengo hawataenda kabisa,S sijui Upinzani utafanyaje kuhamasisha wanachama wao wakapige Kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi jambo asilolijua ni kama usiku wa Giza.Upinzani ndio ukae tayari safari hii uchaguzii ujao kwanza Upinzani wengi wa wanachama wao hawataenda kupiga kura kabisa hasa Zanzibar huku bara ndio usiseme .Mwanachama wa Upinzani kumwinua akapige kura labda umnyanyue na winchi.Wengo hawataenda kabisa,S sijui Upinzani utafanyaje kuhamasisha wanachama wao wakapige Kura
Umeongea ukweli kabisa...upinzani wengi wamekata tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu najua ww ni chadema kweli kweli...Kutegemea polisi ni mbinu aliyoichagua Jiwe na imemsaidia kwa kiasi chake..hata wapinzani wanatafuta namna ya kuikabili hii mbinu ya Jiwe maana anatumia nguvu...kwa vvyvyte vle hata wakishinda kwenye kura hawatatangazwa washindi, na hakuna uwezekano wa tume huru kwa sasa na mda umesonga sana kuhit uchaguz mkuu....Hvyo msaada pekee lazma watafute support kutoka kwa wenye nguvu kuzidi JPM....swala hapa ni kupata madaraka kwa njia yyte ile swala kwamba ni nzuri au mbaya sio case kwa nchi za Africa
Mkuu naona unachambua ukiwa huru kabisa safi sana. Sasa haya mambo wapinzani wakiambiwa wanakasirika lkn ndo ukweli, lazima wajipange.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni upumbavu

Hakuna cha uchambuzi zaidi ya propaganda
Ushenzi na unafiki
 
Western wakiisaidia nchi kwa fedha, wewe na wenzio mnawaita wawekezaji, awadau wa maendeleo, wafadhili nk, ila wakiwasaidia wapinzani mnachukia mnawaita majina ya kuwakashifu. Nikwambie hivi achana na Wazungu wakitaka kuiondoa CCM madarakani hawashindwi, Simu za kwao, magari yao, Bunduki za kwao, Ushushu wanaujua sana nyie mnaiga tu. Unapoteza muda wako kuwajadili watu ambao wamekutangulia maendeleo ya miaka takribani 300 ijayo.

Sijakataa, wazungu wanaweza kufamya lolote...ndo mana nikasema hvi Wazungu kutoa msaada wa kumtoa mtu madarakani ni mpaka waone kiwango cha manufaa watakayopata kitazidi yale manufaa wanayopata kupitia raisi aliyepo madarakani...mpak sasa mzungu hajaloose lolote kutokana na utawala wa JPM, labda hapo mbeleni
 
Huu ni upumbavu

Hakuna cha uchambuzi zaidi ya propaganda
Ushenzi na unafiki
Hukutakiwa kutukana..bali ulitakiwa kukosoa kulingana na maoni yako...una mihemko sana, huu mchezo hauhtaji hasira
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu

chadema kama mngekuwa chidbenz kipindi kile na hisi kwa hizo nyimbo za freestyle hapo basi tuzo za marehemu ruge mngepata
 
Nje ya dola CCM na Magufuli ni hopeless wana mkakati gani ?
Very true

Hivi utawezaje kumsifia mtu ambaye unajua kuwa ana-abuse power tuliyompa na kuita kuwa ni strategic??

Hivi huyu Magu, bila Jeshi la Polisi kuwa "under his control" hivi si mwepesi zaidi ya tissue paper??
 
Mtu yeyote anaeamini kuwa jiwe ni strategist huwa ananifanya nicheke hata kama nilikuwa na huzuni. Jiwe ni jiwe proper; hajui cha strategy wala plans. Anachokiamini (lakini hata utekelezaji wake kwa kutumia akili haujui na hauwezi) ni matumizi ya mabavu.
Mtu yeyote aliyesoma sayansi huwa anauwezo mkubwa sana wakufikiri, trust me. Kule hakuna kukopi na kupast kunahitaji derivation and high thinking capacity to release the problem. Sasa unapoambiwa JPM ni mtu smart usicheke sababu aliyoifanyia nchi mpaka sasa ndio yanayodhihirisha usmart wake no porojo anymore awamu ya tano..
 
Mtu yeyote aliyesoma sayansi huwa anauwezo mkubwa sana wakufikiri, trust me. Kule hakuna kukopi na kupast kunahitaji derivation and high thinking capacity to release the problem. Sasa unapoambiwa JPM ni mtu smart usicheke sababu aliyoifanyia nchi mpaka sasa ndio yanayodhihirisha usmart wake no porojo anymore awamu ya tano..

That is a myth. Watu waliosoma sayansi Tanzania hii 99.9% cramming. Huwezi kumuita Magufuli scientist kwa definition yeyote ile halafu mtu anaejua science na scientists akakuelewa. Na kama alichofanya hadi sasa ndio proof ya u-smart wake basi definition yako ya neno smart sio hiyo inayoeleweka na kutumika globally. Kwa taarifa yako, Magufuli is so management incompetent kiasi kwamba ukimpa kuendesha biashara ya kuuza maji jangwani hiyo biashara itafilisika within 3 months.
 
That is a myth. Watu waliosoma sayansi Tanzania hii 99.9% cramming. Huwezi kumuita Magufuli scientist kwa definition yeyote ile halafu mtu anaejua science na scientists akakuelewa. Na kama alichofanya hadi sasa ndio proof ya u-smart wake basi definition yako ya neno smart sio hiyo inayoeleweka na kutumika globally. Kwa taarifa yako, Magufuli is so management incompetent kiasi kwamba ukimpa kuendesha biashara ya kuuza maji jangwani hiyo biashara itafilisika within 3 months.
Sitakushangaa kwa maneno yako hayo sababu hujasoma sayansi hivyo huwezi jua, aliyekuambia mtu anaweza kucram Math au Physics ni nani embu jitokeze wewe ukacram kama hujachanganyikiwa leo hii hii. JPM ni mtu wa fact no porojo wapenda maendeleo tunamuelewa ila wale waliozoea kupiga porojo na siasa mchwara na za ujanja ujanja hawawezi muelewa kamwe.
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
CCM wanabebwa ba dola full stop.
hakuna cha umakini wala nini!!
 
Back
Top Bottom