Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Uchambuzi wako umekosa hoja muhimu Moja kuu uneongelea hama hama ya wabunge na madiwani kwa chadema umesahau Lowassa effect kuwa kuhama kwake kahama na sehemu kubwa ya wale wapiga kura milioni sita wake ambao asilimia zaidi ya themanini walipigia kura chadema sababu ya Lowassa kwenye mikoa yenye walutheri Wengi.Hawakupigia kura chadema sababu wanaipenda Chadema Bali sababu walimpenda Lowassa mikoa yenye walutheri wengi kama Kilimanjaro,Arusha,manyara,Mbeya,Dar es salaam Tanga na Momba na morogoro
Kwa utafiti gani uliofanya we hidaya?
 
Mkuu swala la udini unalibeza?? Duh hatari

Najua ulitaka niongeze kwamba wametambua hawatashinda sababu ya mabavu ya JPM kutumia nguvu ya dola, anyway ndo kutoshinda kwenyewe huko..hata hivyo JPM bado ana kura nyingi sana coutryside...punguza tu mihemko utalitambua hili


Kutumia nguvu ni mbinu pia
Kwa hiyo ndugu slowly unatuambia kwamba udikteta ni mbinu pia.
Kazi ipo.
 
Mnaandika sana.. Mkitaka kujua ccm si lolote si chochote fanyeni kama mnajikuna tu.. Ruhusuni siasa hata kwa mwezi tu ndio mtajua kama mna pendwa au mnaishi kwa kudra za Kamanda Siro na usalama.. Watu tumechoka ni vile threshold haijafikiwa tu! Eti anapendwa. Mnampenda nyie mnaokula na kusaza huku mkipigwa upepo kwenye mavxv8, bombadier na DREAMLINER

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchambuzi wako umekosa hoja muhimu Moja kuu uneongelea hama hama ya wabunge na madiwani kwa chadema umesahau Lowassa effect kuwa kuhama kwake kahama na sehemu kubwa ya wale wapiga kura milioni sita wake ambao asilimia zaidi ya themanini walipigia kura chadema sababu ya Lowassa kwenye mikoa yenye walutheri Wengi.Hawakupigia kura chadema sababu wanaipenda Chadema Bali sababu walimpenda Lowassa mikoa yenye walutheri wengi kama Kilimanjaro,Arusha,manyara,Mbeya,Dar es salaam Tanga na Momba na morogoro[/
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
Game la 2020 nigumu sana Nchi inaenda kuandika history mpya Kama unakumbuka 2015 ilikua last chance kwa ccm JPM akafanykiwa kapenya na kuingia Ikulu ajamaliza hata dk kalikoroga kasau Changamoto alizopambana nazo alijinadi yeye kama yeye na kuweka ccm pembeni nangoja nisikie atakuja na gia gani JPM wapinzania hawana kazi sana amejimaliza mwenyewe kwakukosa amaarifa
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
kwenye siasa za Tanzania JPM ni mtu wa kawaida sanaaa
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
mchambuzi mkubwa unashindwa kabisa kuelewa kuwa kwenye box la kura ccm hawana chao.. ina maana hujui hili kweli? ccm bila kuiba kura au bila polisi hawawezi kushonda majimbo mengi sana.. na nikuhakikishie tu uchaguzi unaokuja watu watakaojitokeza hawawezi kufika 40% mark this.. kwa sababu gani/.? wanajua kabisa kuwa muamuzi wa kura sio box la kura ni ccm wennyewe.
sluhisho ni katiba.. na ccm hawatakubali kuigusa katiba kwa sababu wanajua ndio jeneza lao
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu

Duh! Utafikiri imeandikwa na mtu ambaye amekuwa Profesa wa mambo ya siasa kwa muda wa nagalau miaka 200!
 
Uzi wako naupeleka kuutunza kwenye hazina yetu ya ukoo,,

Utasaidia vizaza na vizazi,,,

Mnyaazmungu akuzidishie maarifa ww na uzao wako,,,
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
Umechambua vizuri, lakini umefukia fukia hapa na pale kwa propaganda za CCM. kwamba Magufuli anakubalika nani kakuambia? Magufuli mwenyewe amekataa kujipima kwa kuruhusu chaguzi za marudio ziwe free and fair. uchaguzi pekee ambao hakuuingilia ulikuwa ule wa Tunduma na ambapo CHADEMA walishinda. kama Magufuli aligwaya hata kule KOROGWE ambako CCM walikuwa wanatetea jimbo lao, utasema nini? Mbaya zaidi ile tafiti ya TWAWEZA ndiyo kabisaa ilimchanganya.

Ile assumption ya kwamba watu wa vijijini wanapenda CCM au hawajui kinachoendelea kwa Magufuli haitamsaidia kwa sababu ameua sana uchumi kila kona mpaka vijijini hali ni mbaya sana. kuhusu makundi ndani ya CCM ni kweli Magufuli amejipalia makaa mwenyewe. alikuwa na fursa ya kuyamaliza lakini kwa ubabe wake ameyaongeza nguvu. na bado msimwamini sana Mamvi. anaweza kuwachezea Chess wote mkapagawa.
 
Mkuu najua ww ni chadema kweli kweli...Kutegemea polisi ni mbinu aliyoichagua Jiwe na imemsaidia kwa kiasi chake..hata wapinzani wanatafuta namna ya kuikabili hii mbinu ya Jiwe maana anatumia nguvu...kwa vvyvyte vle hata wakishinda kwenye kura hawatatangazwa washindi, na hakuna uwezekano wa tume huru kwa sasa na mda umesonga sana kuhit uchaguz mkuu....Hvyo msaada pekee lazma watafute support kutoka kwa wenye nguvu kuzidi JPM....swala hapa ni kupata madaraka kwa njia yyte ile swala kwamba ni nzuri au mbaya sio case kwa nchi za Africa

Mimi bwana nakuelewa sana bila kujali uko upande gani.....

Lakini ulichokiandika ni ya kutoka kwako, moyoni mwako na kwa kiasi kikubwa ndivyo ilivyo.....

Nashangaa tu kwa nini members wengine wameshindwa kukuelewa.....

Ni kweli kabisa "mfumo" ndiyo unaombeba Joni Magufuli na CCM yake....

Kwani kwa upande wa pili huyu Pombe Magufuli, hana kitu... hana lolote... si mwanasiasa huyu na hana political strategies zozote huyu, hana mvuto kabisa wa kisiasa.....

Na whether you will like it or not, huyu hakuwahi kushinda ktk uchaguzi mkuu wa 2015. Ballot Box ilimkataa kwa 80%....!!!

Usiniulize: Mbona ni Rais sasa??

What matters ni kuwa, he's na anatumia ipasavyo fursa (advantage) aliyoipata ya "kushika dola na mwamuzi wa kila jambo" i. e Jeshi, polisi, TISS, fedha, mahakama, bunge, medias nk kwa manufaa yao....

Na hili ndivyo ilivyokuwa, ilivyo sasa na itakavyokuwa huko mbeleni unless kumtokea mageuzi makubwa ya mifumo ya kikatiba na kisheria ambayo automatic itabadilisha mfumo mzima wa utawala wenye uelekeo wa kiimla.....

Na hii iko na itakuwa hivihivi hata kama leo ama kesho Tundu Lissu na CHADEMA ama Maalim Seif Sharrif Hamad na ACT - Wazalendo yake ama Prof. Ibrahim Lipumba na "dead" CUF yake watashika dola....

Kwa siasa zinazoendelea sasa, mimi nadhani oppositions wanapaswa kuja na mbinu mbadala kukabiliana na nguvu hii anayotumia Joni Magufuli na CCM yake kujihakikishia wanabaki kwenye game iwe next year 2020 au hata miaka mingine ijayo.....

Opposition wanachopaswa kufahamu ni kuwa, wenzao (the ruling party) wanatumia kila silaha waliyonayo iwe ya ndani ama nje ya wao wenyewe....

Wako tayari hata kuwatumia wao wenyewe (opposition) ili mradi ku - neutralize kila resistance inayojitokeza mbele yao....

For instance, they are already done with Prof. Ibrahimu Lipumba mpaka hatua hii....

Wanaodhani Prof Ibrahimu Lipumba
bado ana business tena na CCM wanajidanganya kwa hakika. Ameshamaliza kazi aliyepewa and he's gone....

Malipo ya Prof. Lipumba ni kuruhusiwa kutumia malimbikizo ya ruzuku kwa kuhakikisha anajitengenezea mustakabali mwema ingalau wa maisha yake baada ya 2020.....

Kwa Kiingereza, tuseme hivi.. The Prof Lipumba chapter is now slowly closing...

Kwa upande mwingine nitatofautiana na wewe kwa ishu ya kwamba, CCM wamefanikiwa kuua upinzani.....

There is no way hili litatokea. Si kwa kutunga sheria za hovyo, si kwa kutumia polisi na bunduki, si kwa kutumia mahakama ama magereza nk nk....

Ambacho ni possible kwa over 50% ni ukweli kuwa, Mr Magufuli na CCM yake has a possibility of rataining his seat comes 2020 General Election unless kitokee "kisichotarajiwa" maana kwenye siasa chochote na wakati wowote chaweza kutokea......

Kwa ZANZIBAR, historia inakataa katakata kuwa Maalim Seif Sharif Hamad, ndiyo the end of the road....

Siasa za visiwani ni tofauti sana na za huku kwetu bara...

Wazanzibari wanam - support sana huyu mzee wala siyo Chama. Mwisho wa Maalim Seif ni kifo ama kuacha siasa tu, and not otherwise....

Na kama hatuamini hili, tusubiri mwakani 2020..!!
 
JPM kafeli kila jambo kabumisha uchumi plus kodi za kero Nyanganya nyanganya watu mitaji maisha kayapandisha shilingi yetu haina dhaman tafulani kwenye jamii Kuna watu mpaka leo wameshindwa kuwapeleka watoto wao shule chakushangaza jamaa anaona ufahari kumtaja Kagame kua ndiye mshauri wake mkuu hata kununua ndege ni mawazo ya Kagame ambaye hata kiswahili kinamshinda kuongea huu sio ubabashi? 2020 Lissu na Fatma wamuache salama?
 
Back
Top Bottom