Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Makosa katika huu uchambuzi,ambayo yansonyesha kuwa mchambuzi kaegemea upande wa chama tawala
A)JPM anakubalika
B)ZZK na TL ni vibaraka wa wazungu..
C)ACT ni chama cha waislamu

JPM hakubaliki kwa sasa,amepoteza mvuto kwa Watanzania wengi,maisha magumu mitaani,hakuna mzunguko wa Pesa..

Ideology yake ya kuwa Utajiri ni Ubepari,Maendeleo ya Vitu ni bora kuliko Maendeleo ya Watu haikufanikiwa,sasa,inamugharimu..

Nionavyo ona mimi ZZK ana anaamini uwazi (transparency)katika kuongoza,hii haimfanyi kuwa yeye kibaraka,kwavile CCM haiamini katika ideology hiyo..

TAL anamini katika utawala wa Sheria na Haki za Binaadamu katika kuongoza,kwavile CCM haiamini ideology ya utawala wa Sheria na Haki za Binadamu haimfanyi TAL kuwa kibaraka wa Wazungu..

Kwasababu hizi ndio nimeona kuwa wewe mchambuzi ni KADA wa CCM!!
 
Utakuwa mgeni wa siasa maalim seif ni gwiji wa siasa lakini kwa CCM uwa afui dafu awezi kabisa ameshindwa hata iweje, Lissu na Zitto bado ni watoto sana na yao ni nepi, tena mchezo anaofanya Lissu adharani hakuna mtanzania aliye taayari kuuza nchi yake kwa wazungu, pili vyombo vyetu vya ulinzi haviko tayari kwa hilo.

Zitto usimuamn wala Maaalim

Maalim n mjanja anawatumia wapemba kwa maslah yake 7bu wamerogwa wamenyweshwa maji ya maiti hata aende wapi wapo nyuma, ungwaji wake mkono wa waunguja ni mdogo sana, Zitto hana power Tz bara

Bado atasubiri sana

CCM ndo super power ambayo inamua siasa iweje na mambo yaweje, hao ni watoto tu na yao nepi pempas itawachuna
Unaweza ukawa na hoja bt, umeijaza mipasho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza jpm anakubalika wapi hakuna kitu Kama hicho,wizi wa kidola ndio salama ya ccm nje ya hapo hakuna ccm anayekubaloka
JPM kama ilivyo CCM yake anakubalika zaidi kwa wakulima na wafugaji 'wanyonge' walioko huko useken kabisa mabako hawawezi hata kuielewa hiyo dhana ya wizi wa kidola!
 
JPM kama ilivyo CCM yake anakubalika zaidi kwa wakulima na wafugaji 'wanyonge' walioko huko useken kabisa mabako hawawezi hata kuielewa hiyo dhana ya wizi wa kidola!
Kwa maisha hayo hayo ya kisenge walionayo ndo wamkubali? Mtu Hana future uzee unamsonga kwenye umri was ujana afu unamwambia tumenunua ndege sijui flyover huyu akikuelewa atakua ni pumbavu was kiwango Cha sgr
 
Poor minded, ulitaka nimsifie nani? siasa za mamlaka ni aina ya siasa pia na JPM ameamua kuzitumia kwa sababu ndo ni fursa kwake kuwin game..., hata matajiri wametajirika kwa njia mbalimbali eg mali za kurithi, za kuiba, kudhulumu, kuloga au za kupambana mwenyewe.. mwisho wa siku wanaitwa matajiri haijalishi wamepitia njia gani kuupata....
Poor analyst....kawashawish kenge wenzio hapo lumumba!!
 
Hoja zenye nguvu hizi! Kudos!
Makosa katika huu uchambuzi,ambayo yansonyesha kuwa mchambuzi kaegemea upande wa chama tawala
A)JPM anakubalika
B)ZZK na TL ni vibaraka wa wazungu..
C)ACT ni chama cha waislamu

JPM hakubaliki kwa sasa,amepoteza mvuto kwa Watanzania wengi,maisha magumu mitaani,hakuna mzunguko wa Pesa..

Ideology yake ya kuwa Utajiri ni Ubepari,Maendeleo ya Vitu ni bora kuliko Maendeleo ya Watu haikufanikiwa,sasa,inamugharimu..

Nionavyo ona mimi ZZK ana anaamini uwazi (transparency)katika kuongoza,hii haimfanyi kuwa yeye kibaraka,kwavile CCM haiamini katika ideology hiyo..

TAL anamini katika utawala wa Sheria na Haki za Binaadamu,kwavile CCM haiamini ideology ya utawala wa Sheria na Haki za Binadamu haimfanyi TAL kuwa kibaraka wa Wazungu..

Kwasababu hizi ndio nimeona kuwa wewe ni KADA wa CCM!!
 
Utakuwa mgeni wa siasa maalim seif ni gwiji wa siasa lakini kwa CCM uwa afui dafu awezi kabisa ameshindwa hata iweje, Lissu na Zitto bado ni watoto sana na yao ni nepi, tena mchezo anaofanya Lissu adharani hakuna mtanzania aliye taayari kuuza nchi yake kwa wazungu, pili vyombo vyetu vya ulinzi haviko tayari kwa hilo.

Zitto usimuamn wala Maaalim

Maalim n mjanja anawatumia wapemba kwa maslah yake 7bu wamerogwa wamenyweshwa maji ya maiti hata aende wapi wapo nyuma, ungwaji wake mkono wa waunguja ni mdogo sana, Zitto hana power Tz bara

Bado atasubiri sana

CCM ndo super power ambayo inamua siasa iweje na mambo yaweje, hao ni watoto tu na yao nepi pempas itawachuna
Uko sawa mkuu...possibly ndo wanajipanga hvyo mbali ya utoto wao...Ngoja tuone
 
Poor analyst....kawashawish kenge wenzio hapo lumumba!!
Sin mda wa kujibizana na mapopoma kama wewe..i cant wast my tym discssng with arrogant nonsens pumpkin..go to the hell dude
 
Makosa katika huu uchambuzi,ambayo yansonyesha kuwa mchambuzi kaegemea upande wa chama tawala
A)JPM anakubalika
B)ZZK na TL ni vibaraka wa wazungu..
C)ACT ni chama cha waislamu

JPM hakubaliki kwa sasa,amepoteza mvuto kwa Watanzania wengi,maisha magumu mitaani,hakuna mzunguko wa Pesa..

Ideology yake ya kuwa Utajiri ni Ubepari,Maendeleo ya Vitu ni bora kuliko Maendeleo ya Watu haikufanikiwa,sasa,inamugharimu..

Nionavyo ona mimi ZZK ana anaamini uwazi (transparency)katika kuongoza,hii haimfanyi kuwa yeye kibaraka,kwavile CCM haiamini katika ideology hiyo..

TAL anamini katika utawala wa Sheria na Haki za Binaadamu,kwavile CCM haiamini ideology ya utawala wa Sheria na Haki za Binadamu haimfanyi TAL kuwa kibaraka wa Wazungu..

Kwasababu hizi ndio nimeona kuwa wewe mchambuzi ni KADA wa CCM!!
Sawa mkuu....
 
Kwa maisha hayo hayo ya kisenge walionayo ndo wamkubali? Mtu Hana future uzee unamsonga kwenye umri was ujana afu unamwambia tumenunua ndege sijui flyover huyu akikuelewa atakua ni pumbavu was kiwango Cha sgr
Mi mwenyewe ni victim wa maamuzi anayoyafanya JPM...shughuli zangu huwa zinanilazmu nikutane na watu wasio na elimu huko kijijini...hawa watu wengi wao hawajui haki zao za msingi kuhusu serikali, wanachoangalia ni mvua imenyesha, mifugo ipo vizur na wamevuna mazao, mabwawa yamejaaa maji huwa wanawaza serikali pale tu wanapopata balaa la njaa, au taabu ya maji... wengi wao hujifungulia nyumban na hata njiani, wanajitibu kwa kutumia dawa za mitishamba, kwao shule, hospital na ujenzi wa barabara ni mambo ya ziada na sio lazima...

kwa Tanzania kundi hili ni kubwa sana na limebeba more than 60% ya Tanzania residents , wana imani na CCM kupita maelezo hii ni ngome ngumu sana wapinzani kuipita kwanza wanajulikana kama wahuni...ni kweli JPM uongozi wake unashindwa kulenga shabaha, pamoja na vipaumbele ambavyo havimsaidii mwananchi wa kawaid na vinapoteza hela nying but still ana mtaj mkubwa wa kura

Jaman fanyeni utafiti sio kupiga stor kweny vijiwe vya mjin ambapo wengi wa wakazi wake hata kura hawapigi
 
Nikupongeze kwa maono yako lakini yote ulioandika ni KAMA KUJICHOSHA BURE, upunzani Tanzania kamwe hauwezi kuchukua kiti cha Urais kama HAKUNA KATIBA MPYA, HAKUNA TUME HURU YA UCHAGUZU, HAKUNA SHERIA YA KUPINGA MATOKEO YA URAIS MAHAKAMANI. bila vitu hivi kufanyiwa kazi kabla ya kuingia kwenye uchaguzi ni kazi bure.

sisimu wanafamu fika hapo ndipo waliposhikilia karata yao ya kuendelea kushika madaraka kwamwe hawawezi kukubali pakarekebishwa. Labda njia mbadala ni kuingia msituni
Upo sahihi na ndio mana Lissu yupo Ulaya
 
Uchambuzi wako umekosa hoja muhimu Moja kuu uneongelea hama hama ya wabunge na madiwani kwa chadema umesahau Lowassa effect kuwa kuhama kwake kahama na sehemu kubwa ya wale wapiga kura milioni sita wake ambao asilimia zaidi ya themanini walipigia kura chadema sababu ya Lowassa kwenye mikoa yenye walutheri Wengi.Hawakupigia kura chadema sababu wanaipenda Chadema Bali sababu walimpenda Lowassa mikoa yenye walutheri wengi kama Kilimanjaro,Arusha,manyara,Mbeya,Dar es salaam Tanga na Momba na morogoro
Wewe hujui kitu, tangu lini mbeya ina walutheri wengi? nyanda za juu kusini asilimia kubwa ni Moravian

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom