joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,811
DuuuhOn a mission.. For a purpose
DuuuhOn a mission.. For a purpose
Mpwa samahani, hii tiba imekaaje hasa, na ni kinga kivipi na kwaajili ya nini?Piga nonstop siku 28
Duuh!!Tatizo nyuki wa Dizaini hiyo ambao wanatengenezwa na kina mkuu Mshana
na Likudi wanaweza kufufukia tumboni, wakaligeuza tumbo kuwa Mzinga ingawa
unaweza kupata faida ya kutoa haja kubwa ya masega na kukojoa asali
Black bee..........!! nipe mbegu mshana kama unaoKasome hii ya huko ulayaView attachment 782278
Kuna nyuki hapa nyumbani ambao hakuna anayeruhusiwa kutoa asali kwenye mizinga isipokuwa mtoto au mtu mwenye jina la ukoo. Je nyuki hao ni wabaya au wazuri?
Nakubaliana nawe kabisa. Kuna muda nyumba nzima tunaishiwa nguvu, kuona ndoto mbayaKuna shida kubwa kwenye hiyo nyumba