Nyuki wametawanisha masishi baada ya waombolesaji waliokuwa katika ibada ya masishi kuanza kung'atwa na nyuki
nyuki hao wameleta madhara makubwa kiasi ambacho baadhi ya watu wamekimbizwa Kibosho hospital.
Pamoja na madhara mengine vyakula vyote vilivyokuwa vimeandaliwa vimeachwa baada ya watu kukimbia.
nyuki hao wameleta madhara makubwa kiasi ambacho baadhi ya watu wamekimbizwa Kibosho hospital.
Pamoja na madhara mengine vyakula vyote vilivyokuwa vimeandaliwa vimeachwa baada ya watu kukimbia.