NYOTA ZETU

MorTimer

JF-Expert Member
Dec 30, 2013
1,195
964
Wakuu kama nyota hapo inapojieleza mimi pia nimezaliwa kati ya miezi hiyo....Inawezekana kweli sijatoboa kisawasawa kwa kutokuwa na tabia ya kuhonga.....!!! Tuliozaliwa kati ya hiyo miezi vipi upande wenu ukoje ili na mimi leo nianze kumwaga fwedha....!!!
299601316d8aa50bfc2dd5c7ddf5b18a.jpg
 
Wakuu kama nyota hapo inapojieleza mimi pia nimezaliwa kati ya miezi hiyo....Inawezekana kweli sijatoboa kisawasawa kwa kutokuwa na tabia ya kuhonga.....!!! Tuliozaliwa kati ya hiyo miezi vipi upande wenu ukoje ili na mimi leo nianze kumwaga fwedha....!!!
299601316d8aa50bfc2dd5c7ddf5b18a.jpg


Hii ni opportunity katika mwaka huu!!?
 
Mjuzi wa mambo ya nyota, naomba aniangalizie nyota ya huyu kiongozi wa awamu hii tafadhali...
 
Back
Top Bottom