Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
- Thread starter
- #81
Kunakitu wanawekewa kwenye nyumba ya uzazi tulichagua cha 12 yrs ila hata kabla unaweza kitoa abebe mimba.Kufunga kizazi? njia gan hiyo ya uzazi mpango ?
Je unaposema, ulimwambia ,hamuwezi kuzaa watoto wengine Zaidi...maana yako ilikua ni hutaki kuzaa tena yaan umetosheka na watoto wawili???? Au huko baadae mngezaa ???.
Ex Wife wako ana umri gani sasa??
tungeweza kuzaa baadae angalau mmoja au wawili tena baada yakufikisha malengo niliyoyapanga kwa familia yangu.
Umri wake kwa sasa ni kati ya 30-35