DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salmu Mwalimu amekuwa ni miongoni mwa wanasiasa wapya wanao kubarika kwa haraka tena sana.
Kifupi anapendwa, sijui ana bahati ya kupendwa au chama chake. Lakini kila mkutano anaofanya watu wamekuwa wakimiminika sana na kupelekea kuvunja record ya Mwanasiasa kijana aliyewaingiza wanachama wapya wengi ndani ya chama cha siasa nchini, kupitia mkutano mmoja.
Tazama picha foleni ya watu wakinunua kadi za chama ili wawe wanachama.
Kifupi anapendwa, sijui ana bahati ya kupendwa au chama chake. Lakini kila mkutano anaofanya watu wamekuwa wakimiminika sana na kupelekea kuvunja record ya Mwanasiasa kijana aliyewaingiza wanachama wapya wengi ndani ya chama cha siasa nchini, kupitia mkutano mmoja.
Tazama picha foleni ya watu wakinunua kadi za chama ili wawe wanachama.