Nyota ya Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salimu Mwalimu yang'ara

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salmu Mwalimu amekuwa ni miongoni mwa wanasiasa wapya wanao kubarika kwa haraka tena sana.

Kifupi anapendwa, sijui ana bahati ya kupendwa au chama chake. Lakini kila mkutano anaofanya watu wamekuwa wakimiminika sana na kupelekea kuvunja record ya Mwanasiasa kijana aliyewaingiza wanachama wapya wengi ndani ya chama cha siasa nchini, kupitia mkutano mmoja.

Tazama picha foleni ya watu wakinunua kadi za chama ili wawe wanachama.


IMG_15466762716079.jpeg IMG_15471256657784.jpeg
 
laki si pesa
CHADEMA ina wapambanaji katika nyanja zote yaani Nchi kavu, Majini na Angani na hao unaoona kama wametupwa yaani Yericko na Ben wanakazi maalum ndani ya chama kwa sisi wenye akili tunaijua na ili upate uhakika wa kazi yao nenda kawaulize hawa wafuatao (Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Mwigamba, Juliana Shonza, Mtela Mwampamba na Habib Mchange) ukiwauliza watakuambia hayo yaliyowakuta yamesababishwa na nani na kwa nini.
 
Last edited by a moderator:
Badala ya kuchochea ufuasi wa mtu mmoja mmoja kma yeye, mbowe ameweza kuwabuavijana wengi wenye uwezo mkubwa wa kukijenga chama na kukipatia ufuasi wa kitaasisi
 
Huyu kaingia Chadema juzi tu amepewa cheo kikubwa chamani. Akina Yericko Nyerere na Ben Saanane wako Chadema miaka kibao wanapotezewa tu. Hii ndio Chadema.wanakutumia kama toilet paper halafu wana kutupa kulee. Poleni sana yericko na ben

Angalia kwanza anatokea upande gani wa Jamhuri, ndo kujenga chama hivyo kwa upande ule ambao imekuwa ikisemwa kuwa hakikubaliki.
 
Hatuangali katoka upande gani au ni kabila gani tunaangalia uwezo wake. Kitu kilichompandisha chati ni uwezo wake wa ushawishi
 
Huyu dogo kama namkumbuka hivi...ni mwanamapinduzi wa kweli..nilianza kumuona toka akiwa mdogo maeneo ya mbezi beach ma flat ya nssf.
Huyu anafaa
 
Angalia kwanza anatokea upande gani wa Jamhuri, ndo kujenga chama hivyo kwa upande ule ambao imekuwa ikisemwa kuwa hakikubaliki.

Kwa hiyo huyu Mwalim amepewa cheo kwa sababu ni mzanzibar na wala sio.kwa sababu ya uwezo wake wa uongozi? Kabla ya kuwa naibu katibu mkuu alikuwa nani kwenye chama?
 
laki si pesa
CHADEMA ina wapambanaji katika nyanja zote yaani Nchi kavu, Majini na Angani na hao unaoona kama wametupwa yaani Yericko na Ben wanakazi maalum ndani ya chama kwa sisi wenye akili tunaijua na ili upate uhakika wa kazi yao nenda kawaulize hawa wafuatao (Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Mwigamba, Juliana Shonza, Mtela Mwampamba na Habib Mchange) ukiwauliza watakuambia hayo yaliyowakuta yamesababishwa na nani na kwa nini.

Kama wana kazi maalum mbona waligombea uongozi na kushindwa?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo huyu Mwalim amepewa cheo kwa sababu ni mzanzibar na wala sio.kwa sababu ya uwezo wake wa uongozi? Kabla ya kuwa naibu katibu mkuu alikuwa nani kwenye chama?

Pamoja na juhudi binafsi na uwezo wake, hilo nalo linaweza kuwa limechangia ili ku-balance uongozi pande zote. Ni kama ukifanya interview ya kazi katika Sekta ya Umma ukiwa na Mdada halafu mlingane pass, lazima atachuliwa Mdada wewe ubaki. Mkuu laki si pesa, Sambaza Upendo, Acha Kusambaza Chuki.
 
Last edited by a moderator:
Huyu dogo kama namkumbuka hivi...ni mwanamapinduzi wa kweli..nilianza kumuona toka akiwa mdogo maeneo ya mbezi beach ma flat ya nssf.
Huyu anafaa


kwa kuwa ulimuona uko???
 
Back
Top Bottom