Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Sio mbaya kujifariji mkuu 😂😂Athari za hayo mabango huwezi kuyaona kwa sasa time will tell
Sio mbaya kujifariji mkuu 😂😂Athari za hayo mabango huwezi kuyaona kwa sasa time will tell
Puppet on a stringView attachment 1952325
Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .
Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .
Mungu ibariki Zambia
Hechillema kifupi amepewa mzigo na utawala uliopita lazima aendelee kuwapigia wazungu magoti kama watangulizi wake ambao walikuwa watawala wa mabavu. Namfananisha hichelema kama Mke aliyefiwa na mume amebaki mjane analia hajui familia ataiendeshajeUmeanza vizuri ila ukaharibu mwishoni ukaharibu kwa kusema wachina wana nia nzuri na waafrika. Wachina ni wezi na matapeli wenye sura ya upole tofauti na mabeberu. Wazambia wako hoi kwa madeni ya mchina. Isitoshe mchina anaendelea kujimilikisha nchi ya Zambia. Hadi kwenye miji midogo mchina anajenga malls ambazo kiukweli zinawavuruga sana wazawa kwa maana ya unfair competition. Hichilema awe mjanja kucheza karata yake vizuri ili aiondoe Zambia kwenye mikono ya wachina. Kwenye kampeni zake HH alisema atadili na madeni kwanza.
Ikafaidika Vipi hiyo danganyika yenyewe?Akitokea kiongozi anayejitambua USA lazima waangalie namna ya kulinda msalahi yao, so siyo issue ya eti kuonana na wabunge bali ni wao kuona maslahi yao yanavyolindwa.
Kwa Dkt Magufuli ukikumbuka walikuja hawa wabunge mpaka ikulu ya DSM, wakatema nyongo zao ila Dkt Magufuli akawaambia lazima Tz ifaidike
Apewe Tuzo ya Nobel ya amani # Ni shujaa wa Afrika# Ana vaa viatu vya Nelson MandelaView attachment 1952325
Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .
Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .
Mungu ibariki Zambia
FYI, I know Zambia like back of my hand - nimewahi kufanya kazi na kuishi huko, nawambieni acheni kusikiliza adithi za kubuni za media za magharibi na wapambe wao - kama kuna baadhi ya Wazambia wanao wasema vibaya Wachina basi bila shaka hao hawajui vizuri historia ya Taifa lao au are plain ungrateful chimeras paid troll designed to demonize Chinese - tuwe wakweli hapa, sahau political rhetoric za baadhi ya viongozi wa Kiafrika bendera fuata upepo - wakumbuke kwamba Dunia inapokwenda Wachina hawakwepeki, ni suala la muda tu atakuta Rais Hachilema na washauri wake wanakimbilia China kutembeza bakuli baada ya kutoswa na mataifa ambayo anayaona ni bora kuliko China.Wewe pia una propaganda. Tembelea Zambia ujionee Mchina aliyoyafanya ndo uje na utetezi wako. Halafu tumia lugha moja unapoandika comment.
Tunaomba mfano wowote wa Taifa lolote lililonufaika na wachinaHere we go again - emulating western dirty propaganda about China and her leaders.
Mambo mengine bwana-yaani waswahili wanaona mikopo ya mabeberu ni balabala lakini mikopo ya Wachina ni hatari - kisa? Vyombo vya habari vya magharibi vimekaririsha Waafrika kuami ni hivyo mabeberu are still stuck in by gone cold war mentality where western Nations were preaching evil of communism/socialism and blessing of CAPITALISM - ndicho kinacho endelea mpaka sasa mabeberu wana tisha tisha waafrika kuhusu ujio wa Wachina barani Afrika.
Wewe ni debe tupu hakuna kitu unajua. Shut upFYI, I know Zambia like back of my hand - nimewahi kufanya kazi na kuishi huko, nawambieni acheni kusikiliza adithi za kubuni za media za magharibi na wapambe wao - kama kuna baadhi ya Wazambia wanao wasema vibaya Wachina basi bila shaka hao hawajui vizuri historia ya Taifa lao au are plain ungrateful chimeras paid troll designed to demonize Chinese - tuwe wakweli hapa, sahau political rhetoric za baadhi ya viongozi wa Kiafrika bendera fuata upepo - wakumbuke kwamba Dunia inapokwenda Wachina hawakwepeki, ni suala la muda tu atakuta Rais Hachilema na washauri wake wanakimbilia China kutembeza bakuli baada ya kutoswa na mataifa ambayo anayaona ni bora kuliko China.
Uko sahihi 100%Hechillema kifupi amepewa mzigo na utawala uliopita lazima aendelee kuwapigia wazungu magoti kama watangulizi wake ambao walikuwa watawala wa mabavu. Namfananisha hichelema kama Mke aliyefiwa na mume amebaki mjane analia hajui familia ataiendeshaje
Huyu ndio amejitoa kusaidia wananchi wakeView attachment 1952325
Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .
Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .
Mungu ibariki Zambia
Aiseee !!Kusafiri nawatu watatu sio Jambo dogo kwanchi kamahizi za kiafrika, yule rais wabahati mbaya alibeba Hadi wajukuu uwanawake wake unatumika vibaya sana
Na Ikulu ya Marekani nako alifika ?Great thinker kumbe umetudanganya, chief naye alikutana na World Bank
View attachment 1958754
Eeh kwa iyo ulitaka afike kote Hichi lema alikofika.?Na Ikulu ya Marekani nako alifika ?
Kuonana na hao watu ndo nyota kung'aa? Sio kwamba shetani anamtaftia angle nzuri ili amtafuneView attachment 1952325
Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .
Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .
Mungu ibariki Zambia